Rais kwenda kuzindua kituo cha Azam TV siyo sahihi

Kileo, hapana. Bakhera ame invest Tsh Bilion zaidi ya 53. Ataajiri watanzania wenzetu zaidi ya 100 na multiplier effect yake kwenye ajira na mambo mengine mtambuka ni zaidi ya tunavyofikiri.

Kwa investment ile ni sahihi kwa Rais kuzindua.

Tuache siasa kwenye ishu za uchumi wa nchi
Thats Bravo!!
 
Hata ukitaka aje kwenye birthday party yako atakuja tu cha msingi fata utaratibu. Huyu ni rais wa watu wote hana iyana.
 
Mkuu leo umekosea, chini ni Obama akiwa ametembelea Symbion power kampuni binafsi pia....

OBAMA+1.jpeg
Mpeni ukweli,
Nina wasiwasi
Siasa
Hulawiti mifumo ya kufikiri!!
 
Henry Kilewo

Wewe ni mmoja wa viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri ndani ya chadema! Thread ya kitoto sana..hii

Yani wewe umeangalia tuu kwenye jicho la biashara? Kama ange kwenda kuzindua TBC je?

Wewe ndio unauewezo mdogo kichwani TBC ni mali ya umma unailinganisha na Azam tv? Watu karibu 50 wamekufa na mvua Rais anaenda kuzindua Tv ya mtu binasfi.
 
Last edited by a moderator:
Alafu kwenye picha ya pamoja nilijiuliza swali la kizushi. Hivi pale Boss nani na tajiri nani. Yani yupi anajisikia ufahari wa kukutana na mwenzake pale.
 
Ni heri kuwa huru kifkra kuliko kushikiliwa akili... Tazama post yangu vizuri ujue nimezungumzia mazingira yapi, ama uniambie ni wapi duniani Rais ameweza kutenda hivyo.

Ingalikuwa ni taasisi isiyokuwa ya kibiashara yenye kusaidia wananchi alikuwa yupo sahihi but siyo hili la kibiashara. Mimi nimelichukulia kwenye mtazamo wa level zingine za kibiashara siyo hila na ghiliba.
Lile jengola Haidery Plaza sio la kibiashara? Je, mmiliki wa lile jengo hana washindani kwenye similar business? Unafahamu alifungua neno lile jengo?
 
Kitendo cha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenda kufungua kituo cha television cha Azam ni kitendo kisichokuwa na usawa kwenye ushindani wa kibiashara.

Leo hii washindani wake wa kibiashara watajisikiaje? Mfano, ITV, Chanel Ten, Star Tv na hata Tbc1.

Tunataka maendeleo ila maendeleo yenye usawa.

Ni lini tumeona marais kama Amerika nk wakifanya vituko hivi?

Nchi yetu kuwa changa isifanye akili za viongozi wetu kuwa changa.

Najua nitashambuliwa sana kwa post yangu hii ila huo ndiyo ukweli wa kibiashara ulimwenguni kote.

Kilewo rahisi wetu hana shughuli akikosa msiba anaenda kwenye uzinduzi....
nchi hii bana
 
Mpeni ukweli,
Nina wasiwasi
Siasa
Hulawiti mifumo ya kufikiri!!

Sikuamini JF kuwa na vilaza namna hii. Thread inasema kwamba rais hakufanya vizuri kwa kuwa kibiashara sio fair. Sasa Obama kuzindua Symbion power kwani hao walikuwa na ushindani na nani? Kosa sio kuzindua taasisi binafsi, ila kwenye grounds za fairness kibiashara.
 
Wanaofikiria upside-down ndio hawatamuelewa mtoa mada ila yuko straightforward.
Rais hakupaswa kufanya hivyo haijalishi ni mara ngapi amefanya hivyo awali au kwa viongozi wengine waliofanya kama yeye hakufanyi kitendo hicho kuwa sawa.

Wengine ni chuki zenu na personal interests mnamshambulia mtoa mada ila you are clearly pathetic lunatic

Tusaidie kuelewa ndugu yetu usitutukane, biashara inaathirika vipi hapo? Otherwise kwa lugha yako tunaweza kuconclude kuwa wewe ni mke au mchepuko wa mleta uzi.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Sikuamini JF kuwa na vilaza namna hii. Thread inasema kwamba rais hakufanya vizuri kwa kuwa kibiashara sio fair. Sasa Obama kuzindua Symbion power kwani hao walikuwa na ushindani na nani? Kosa sio kuzindua taasisi binafsi, ila kwenye grounds za fairness kibiashara.
Haidery Plaza ilizinduliwa na Mkapa... lile jengo ni la kibiashara na ana washindani wake kibiashara! Nani alikosa wapangaji kwa kuwa wapangaji wote walikimbilia Haidery Plaza kwavile tu jengo lilifunguliwa na rais?

By the way, hebu jaribuni kutetea hiyo hoja ya fairness mnayoilazimisha! Kwanza, fairness ya aina gani? Ni kwamba hivi sasa advertisers wanaweza kuacha kupeleka matangazo ITV, Ch10, Star Tv and the like na kupeleka matangazo yao Azam Tv, au ni fairness ipi mbayoizungumzia nyinyi? Mwaka juzi alizindua jengo la Hindu Mandal Hospital, je Hindu Mandal sio hospitali ya kibiashara ile? Hindu Mandal hana washindani wa kibiashara?

Kuna habari zingine hizi hapa:

RAIS KIKWETE AZINDUA KIWANDA CHA CHAI MKOANI NJOMBE
Rais Jakaya Kikwete akifunua kitambaa kwenye jiwe la msingi wakati akizindua kiwanda kipya cha chai cha Ikanga, Njombe, ikiwa ni sehemu ya sherehe za uzinduzi rasmi wa mkoa mpya wa Njombe Ijumaa Oktoba 18, 2013.

RAIS KIKWETE AZINDUA KIWANDA CHA CHAI MKOANI NJOMBE - Global Publishers

Je, hakuna washindani wa kibiashara kwenye viwanda vya chai nchini?

Juzi juzi tu hapa alipoenda Moshi amefungua jengo la kibishara la NSSF! Sasa ikiwa hoja ni fairness kwenye biashara, what about uzinduzi wa hilo jengo la NSSF ambalo nalo ni la kibiashara?
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Sikuamini JF kuwa na vilaza namna hii. Thread inasema kwamba rais hakufanya vizuri kwa kuwa kibiashara sio fair. Sasa Obama kuzindua Symbion power kwani hao walikuwa na ushindani na nani? Kosa sio kuzindua taasisi binafsi, ila kwenye grounds za
fairness kibiashara.

Siamini kuwa kuna uwekezaji wowote wa binafsi kusema hakutakuwa na upinzani kibiashara! Bado hoja ya msingi inabakia pale pale rais amefanya jambo jema.
 
Kitendo cha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenda kufungua kituo cha television cha Azam ni kitendo kisichokuwa na usawa kwenye ushindani wa kibiashara.

Leo hii washindani wake wa kibiashara watajisikiaje? Mfano, ITV, Chanel Ten, Star Tv na hata Tbc1.

Tunataka maendeleo ila maendeleo yenye usawa.

Ni lini tumeona marais kama Amerika nk wakifanya vituko hivi?

Nchi yetu kuwa changa isifanye akili za viongozi wetu kuwa changa.

Najua nitashambuliwa sana kwa post yangu hii ila huo ndiyo ukweli wa kibiashara ulimwenguni kote.
Jk mwite hata kuja kufungua nyumba yako atakuja
 
Wanaofikiria upside-down ndio hawatamuelewa mtoa mada ila yuko straightforward.
Rais hakupaswa kufanya hivyo haijalishi ni mara ngapi amefanya hivyo awali au kwa viongozi wengine waliofanya kama yeye hakufanyi kitendo hicho kuwa sawa.

Wengine ni chuki zenu na personal interests mnamshambulia mtoa mada ila you are clearly pathetic lunatic
Hivi ulikuwa na sababu za msingi za kufanya utukane watu? Hoja ya mleta mada ni kwamba atakuwa hajafanya fairness... fairness ipi? Watu wamempa baadhi ya miradi iliyowahi kuzinduliwa na rais kuonesha kwamba ni hoja isiyo na mashiko kwamba kufanya hivyo inakuwa haileti picha mzuri kwa washindani! Mleta mada pia eti huwezi kukuta kitu kama hicho kinafanyika duniani... kama sio uongo tuite nini! Tuangalie haya machache:
British Prime Minister Opens World's Largest Offshore Wind FarmLONDON -- British Prime Minister David Cameron yesterday (July 04, 2013) officially opened London Array, the world’s largest offshore wind farm.


Developed by Dong Energy, E.ON and Masdar, London Array is located off England in the outer Thames Estuary, 20 km from the coasts of Kent and Essex.
Na moja ya paragraph ya hiyo habari ni hii hapa:
London Array is 50 percent owned by Danish energy company Dong, with Germany’s E.ON holding 30 percent and Masdar from Abu Dhabi holding the final 20 percent. more: British Prime Minister Opens World's Largest Offshore Wind Farm
Sasa je, huo sio uzinduzi wa shughuli za kibiashara? Unataka kuniambia all over the UK hakuna kampuni zingine working on renewable energy sector? Habari nyingine inayoendana na habari hiyo hapo juu, moja ya paragraphs zake inasema:
Other massive projects (a total of 15 GW) are already in the pipeline, such as Teesside, Gwynt y Mor off the coast of North Wales and West Of Duddon Sands off the north west coast of England. More David Cameron Opens UK Wind Energy Farm | The Energy Collective
Hapo unapata picha gani na hayo madai yenu ya kwamba kufanya hivyo ni ku-create unfairness na uongo wa mleta mada kwamba hakuna popote duniani unaweza kukuta kitu kama hicho! Hivi unaweza kuitaja dunia bila kuitaja UK?

Nyingine hii hapa:
British PM opens new JCB factory as company goes for growth


Prime Minister David Cameron today officially opened JCB’s new $100 million factory in Brazil as the company strengthens its position in rapidly-expanding Latin American markets.

Mr Cameron, who is undertaking a trade mission to Brazil, spent an hour touring the 350,000 sq ft plant in Sorocaba City in São Paulo State. He was given an insight into the processes involved in the production of backhoe loaders, tracked excavators, wheel loading shovels, Loadall telescopic handlers and compaction equipment which the factory will manufacture.
Mwisho kabisa wa habari hiyo kuna hii paragraph:
JCB is the world’s third largest construction equipment manufacturer by volume. A family-owned business based in Staffordshire, JCB’s turnover in 2011 was £2.75bn and earnings were £355m on an EBITBA basis.
Now tell me, unataka kuniambia Brazil mzima hakuna kiwanda kingine cha aina hiyo kutoka UK? What fairness mnayoizungumzia nyinyi?

Nyingine hii hapa:
UK PM David Cameron Opens New McLaren Production Cente
Being one of Britain's most famous homegrown sports car manufacturers and motorsport brands, it's only fitting that UK Prime Minister, David Cameron, was invited to open McLaren's new production center.
UK PM David Cameron Opens New McLaren Production Center
Haya, hoja yenu hasa ipo wapi?
 
Ndugu yangu AZAM na TV nyingine za bongo wapi na wapi???? hapa unalinganisha twiga na sungura.AZAM ni kitu nyingine bro!!!!sio ya kufunguliwa na kina Jerry Slaa ile!!Level zake ni kama MULTICHOICE,ALJAZEERA,CNN nk sio sijui Star TV ya kuonyesha mbiu ya mkoa hata coverage nchi nzima hakuna!!!!!!!!!!!!!
 
Kileo, hapana. Bakhera ame invest Tsh Bilion zaidi ya 53. Ataajiri watanzania wenzetu zaidi ya 100 na multiplier effect yake kwenye ajira na mambo mengine mtambuka ni zaidi ya tunavyofikiri.

Kwa investment ile ni sahihi kwa Rais kuzindua.

Tuache siasa kwenye ishu za uchumi wa nchi

Mkuu,

JK sijui alijisikiaje Kumkuta Tido,aliyepigwa Fitna na CCM yake,yuko Pale Azam TV na mmoja kati ya waboreshaji wa Azam Media ???
 
Mtoa mada ange-demonstrate any conceivable competitive advantages ambazo AZAM TV watanufaika vis-a-vis other TV stations baada ya Rais kufungua studio zao mpya. Popularity ya Rais Kikwete ni super low, and he'll be out of office in a few months time, kwa hiyo its unlikely kuna faida yoyote hapo za kibiashara Azam TV itaambulia
 
Back
Top Bottom