Mkuu
Usikute unachukia hiki kitu kwa kutojua Mkuu
Lakini sisi tunachokueleza ndiyo ukweli wenyewe
CHADEMA KUNA UDINI UKANDA NA UKABILA
UKIACHILIA MBALI MAMBO MENGINE WAKO SAWA TUH
ILA KINACHOWAGHARIM NI HIKO TUH
Chadema itashughulikia matatizo ya viongozi na wanachama kwa mujibu wa Katiba, si mahakamani.Asiyefuata atafukuzwa uanachama. Wakili Tundu Lissu
‪#‎TunduLissu‬
Katika huo uzi aliounzisha hapa wanachama mbali mbali walitaka aweke bayana matendo aliyoyafanya ambao aliyaona hayakuwa sawa, hakujibu hili wengine walimuuliza kuhusu mawasiliano yake mbali mbali na watu ndani ya MACCM na Serikali miezi michache kabla ya uchaguzi Mkuu wa 2010 ikiwemo mawasiliano yake na Roastam Aziz akalikwepa swali kiaina na hata kudai namba ya simu iliyotumika katika mawasiliano pamoja na kuwa ni yake lakini aliacha kutumia namba hiyo miezi mingi. Kulikuwa na swali je namba hiyo alimruhusu mtu mwingine aitumie? Na kama alimruhusu mtu mwingine aitumie ni nani huyo!? Hakujibu swali.
Hivi kuna Ubaya gani mwanasiasa wa Upinzani kuwa na mawasiliano na wanasiasa wa chama tawala? Je unaamini ni Zitto pekee mwenye Mawasiliano na wanasiasa wa chama tawala?
Lissu hajaropoka shekhe ila kanukuu tu katiba ya Chama.Chama kinaongozwa na katiba na si "hisia" za watu.Aombe radhi kwa kosa gani nyie Bavicha? Huyu Tundu lissu ni kibaraka wa Mbowe ndio maana ameropoka bila kuwaza!
Ngoja msubiri kipigo cha oktoba!
Bado unaongelea ukabila karne hii?
Tundu Lissu siku zako zinahesabika Chadema[/QUOTE
Pole sana mzee.Hata ww ukiwa kiongozi ni LAZIMA kufuata "taratibu zilizowekwa" na miongozo.
Kila nikilitafakari suala la aliyekuwa Mbunge nguli kijana toka Kigoma naishia kukumbuka kile kisa cha kiimani cha ibilisi kutupwa toka mbinguni mpk kuzimu. Ibili huyo aliyejulikana kama Lucifer hapo kabla alikuwa ni kiongozi mashuhuri ktk jeshi la kumlaki Mungu kule Mbinguni, alikuwa ni hodari sana ktk uongozi wake.. Maandiko yanaendelea kutujuza kuwa ilifika wakati huyu bwana lucifer akavimba kichwa na kujiona yeye ndio yeye.. akawa haambiliki na ikafika wakati akaamua kumdharau hata aliye MKUU kwake ambaye ndiye alimpa nafasi hiyo adimu iliyomuweka kwenye ramani ya uhodari. Ilifika pahala ibilisi/ lucifer akaanza mkakati wa kumpindua MKUU, basi baada ya MKUU kuona ibilisi haambiliki tena akaamua kumtupa kuzimu kule ambako amepangiwa kuja kukutana na ule moto wa milele pamoja na waongofu wenzake.
Mwisho wa TAFAKARI.. **