Bora Umetangulia Nyerere Wangu Ungekua Hai Hata Wewe Makof Ungepigwa

Hijja Madava

JF-Expert Member
May 14, 2014
3,302
1,937
Yas kwa ccm ya leo na wewe ulivyokuwa huwez kunyamazia jambo la kijinga,wangalishakupiga baba yetu.usinge salimika kamwe,maana chama chako kimezidiwa kila idara sasa kinajilinda kwa majeshi mawili
1.jesh la polis
2.jesh la chama
hawako tayar kushindwa.sasa nlivyo kujua kila ukiona uozo ungeitisha pres comfrence dimond jublee,na kwenye mikutano ya nje najua hata wangeshindwa kukulipia tiket ya ndege kuja dar ungeita waandish huko butiama kwako uwaambie kua katiba hii ni ya wez wanaotaka kuendelea kuweka mafedha yao haram uswiz,ni ya waroho wa utawala na wasiotaka kuwajibishwa ndo mana wameondoa kipengele cha kuwajibishwa kwa mbunge mzembe,ndio wanaitwa kwenye dhifa za kitaifa wakizawadiwa wanazipeleka zawad makwao NAJUA USINGE NYAMAZA BABA WETU NA HILI LINGEKUFANYA UPINGWE.ila sijui ungevumila kama warioba au ungefanyaje
hoja imewasilishwa
sichoki kusema had hak ipatikane.
 
mshapatiwa dawa yenu na warioba lakini hamuikubali, mtaikubali maana hiyo ni pendekezo la wananchi.. laki si pesa
 
Last edited by a moderator:
Warioba aache kuvuta sigara, zinamdhuru afya yake..

sisiem wanataka vijana ka nyie ambao ni vipofu lakni mnaona,mabubu ila mnaongea,viziw lakn mnasikia hata muelimishwe vip hamuelimik nyi kwenu ni hell mkae uko milele na mabwana zenu mnaowatumikia
 
Warioba tangu alipoanza kunywa gongo kawa wa ajabu sana.
 
wakuu jadilin kilichowekwa apa habar ya matus ni dalil ya kushindwa hoja na kama uhez kusema umeshindwa kaa kimya
 
Warioba tangu alipoanza kunywa gongo kawa wa ajabu sana.

Kweli Taifa linaangapia, na hii ndio picha kamili. Ukiona vijana wanaguts za kuwatukana wazee, basi ujue nchi imeyumba, imeishiwa staha, hekma, heshima na busara. Ni hatari mno..
 
Back
Top Bottom