Wakuu nakuja humu kuomba wataalam kunipa ushauri Nina Subaru Forester XS 2.5 ya 2009 nataka kuiuza nihamie Land rover Discovery 3 ya 2005. Je wenye uzoefu wa Discovery 3 Hali ipoje Kwa spea, mafundi?
Wakuu nataka kuagiza Gari SUV Japan. Katika kuperuzi nimeangukia katika Gari hizo 2 naombeni ushauri wenu Isuzu Bighorn (Diesel 3000cc) vs SUZUKI GRAND ESCUDO (Petrol 2730cc). Nichukue ipi? Ukizingatia barabara off-road na spea Tanzania. Mafuta usihofu nayamudu
Mimi ni mteja wa Benki tajwa kwa takribani miaka minne.
Nimestuka kwa miezi 3 iliyopita mmefunga matawi kadhaa jijini.
Tuwaeleweje? Mbona mnaleta taharuki? Tutoe senti zetu humo?
Niliwekeza kwenye akaunt maalum angalau Disemba 2019 nijipongeze kwa Alphard za Offa toka befoward!
Lakin...
Wadau nilinunua Nissan Fuga kwa mtu Dar ila imeanza kuzingua mis za kutosha na inabugia mafuta kama jini. Mafundi wengi wanabahatisha kwa hii gari nawaza nibadilishe engine nifunge 1G-FE msaada kwa wajuzi
Faini zimetamalaki kuanzia NEMC, TRA na Trafiki, wacha leo nizungumzie za Trafiki kila kosa 30,000/= ukishatozwa (maana yake ni ruksa kuendelea na kosa ulilotozwa faini, hakuna namna ya kurekebisha kosa zaidi ya Faini? ikiwemo kupunguzwa points za kwenye leseni? JELA? KUFANYA KAZI ZA JAMII...
Greetings!
Are you fresh graduate from higher education institution? Are you looking for a job or self-employment?
We, academics based in Dar es Salaam, would like to help you with CAREER TIPS AFTER GRADUATION (CV Writing, Interview Preparation & Entrepreneurship skills).
*If you are interested...
Awamu ya 5 imejipambanua kwa kubana matumizi na kuzuia safari za nje ya nchi kwa watumishi wa serikali (umma) kwa mawazo yangu nilifikiri kuwa Tsh. itaimarika dhidi ya USD kutokana na serikali kutumia pesa mingi kwenye safari hizo za watumishi wa umma nje ya nchi (ununuzi wa tikiti za ndege, Per...
Nyumba ya Kuishi pamoja na Kiwanja vinauzwa kwa pamoja (HATI na documents zote muhimu zipo)
KATA: MABIBO
MTAA: MATOKEO
MANISPAA: KINONDONI, DAR ES SALAAM
ENEO (MITA MRABA): 837
Bei ni 250 milioni (Nyumba ina umeme na ipo karibu na Barabara ya Lami)
MAWASILIANO: 0712 212299
Yaani kwa Dar ukibambwa na trafiki umefanya kosa usidhani eti mtaongea umpe 2,000/= hakuna kama hilo ni mwendo wa faini ya 30,000/= kwa kila kosa.
Mi walinibamba mitaa ya Kawawa Road/karibu na wizara ya maliasili wakanitwanga 90,000/= kwa makosa 3. mijamaa haichek na mtu ni faini ukijidai...
Je wewe ni mwanafunzi wa level yoyote (Sekondari, Chuo n.k) na unahitaji ushauri kuhusu Combination/course gani ya kuchukua/kusomea/ chuo gani cha kusoma ndani na nje ya nchi? usisite wasiliana name kwa PM na nitakusaidia bila gharama yoyote. PAMOJA TUNAWEZA
wadau yoyote mwenye kujua wapi naweza kupata cheap air ticket kutokea Dar au Nairobi kwenda ISLAMABAD, PAKISTAN,mwezi March, 2014. Ninakwenda kwa ajili ya mafunzo ya muda mfupi.
Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2008 mwezi Juni nilikuwa naenda kikazi Lusaka, Zambia basi sijui hili wala lile kwenye tiketi iliandikwa saa ya ndege kuondoka saa 12 asubuhi (ndege ndo inapaa) mimi nikajipa kama dakika 20 kutoka home Tabata mpaka Airport, nikidhani ni kama Mabasi ya Mkoani pale Ubungo...
Wasaalam WanaJF
Mimi ni mfanyabiashara za hapa na pale sasa katika transaction zangu uwa Napata vidola (USD) asa nahitaji kutafuta sehemu ya kuhifadhi. Mwenye kujua utaratibu huwa unakuaje anijuze tafadhali (viambatanisho na benki gani ni nzuri kufungua hiyo akaunti. Natanguliza shukrani.
Wadau wa JF
Je unatarajia usafir kwenda Johannesburg iku za hivi karibuni na utahitaji Taxi (Usafiri), tuna magari ya kubeba abiria kuanzia 3 mpaka 32.Ofisi zetuzpo OR Tambo International Airport, Johannesburg. Masaa 24 kwenda popote pale South Africa. Kwa Mawasiliano tupigie +27728892760...
Salamu wanaJF.
Hhivi karibuni kumeibuka mpango wa serikali wa MATOKEO MAKUBWA SASA (BIG RESULT NOW) swali langu hivi serikali huwa inafanyaga tathmini ya mipango yake kweli hapa kati tena kiliundwa kitengo cha PRESIDENTIAL DELIVERY UNIT/BUREAU.
Hivi kweli hivi vitengo vina ulazima mbona...
Salaam Wadau
Toyota Carina Ti 1490cc, rangi nyeupe ya mwaka 1999 inauzwa ipo Dar (Nimeambatanisha na picha) kwa maelezo zaidi piga namba 0787627437 au 0769096861.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.