Search results

  1. pemgtoonet.com

    Watumishi wanaohudumia Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB) ni tatizo kubwa

    Hakuna kitu kinauma kama umelipa deni lako lote la mkopo elimu ya juu na bado wanaendelea kukata kwenye mshahara. Barua kwenda utumishi Dodoma tayari ilitumwa toka Dec. 2019. Hadi leo hawamtoi mtu kwenye orodha ya makato ya mshahara. Wahusika wakuu na wakurugenzi wa HESLB, pangueni watumishi...
  2. pemgtoonet.com

    Napakuwa App imeandika pending kwa wiki nzima naomba msaada

    Heri ya Christmas, Msaada wataalamu wa apps. Na download program kwenye simu yangu. Bado imeandika DOWNLOAD PENDING kwa wiki sasa. Sijui shida ni nini?
  3. pemgtoonet.com

    Kutoa pesa kwa wakala wa bank

    Habari. Naomba kujua gharama za kutoa pesa kwa hawa mawakala wa bank. Kwa elfu 50, laki na kiasi kingine wanakata kiasi gani.
  4. pemgtoonet.com

    Kitambulisho cha chuo Sh. 30,000??

    Habari ya jioni ndugu wana JF wenzangu. Niende moja kwa moja kwenye mada. Nina mtoto wa ndugu yangu kapangiwa kusoma TIA campus ya Dar es salaam. Ni wale waliograduate form 4 mwaka jana na kupangiwa chuo direct baada ya combination kutobalance. Wameenda chuo kureport wamepewa gharama za chuo...
  5. pemgtoonet.com

    Mh. Rais, sasa ni zamu ya watumishi wako

    Kwa nyakati tofauti, tumeshuhudia upendo wa Mh. Rais kwa wananchi wake akiwazawadia mihela kama yote. Kila ziara amekuwa akigawa pesa kwa wananchi wenye matatizo mbalimbali ya kiuchumi. Mfano, ni pale muhimbili aliwasaidia wahanga wa moto laki 5 kila mmoja. Madaktari na nesi pia aliwapa...
  6. pemgtoonet.com

    Kuhusu upimaji viwanja

    Wataalamu naomba kueleweshwa juu ya upimaji viwanja. Naomba kujua vifuatavyo: 1. Yale mawe aka bicon yanamaanisha nini? 2. No. Za juu ya mawe zunawakilisha nini? 3. Je kila no. Ya jiwe inatofautiana toka jiwe moja kwenda jingine? 4. Yale mawe katikati kuna chip au sensor yeyote endapo litazama...
  7. pemgtoonet.com

    Natabiri: Mahubiri mengi kesho kanisani ni kuhamasisha watu kujiandikisha kupiga kura tu....

    Kwa upepo ulivyo mbaya ktk uandikishaji, wanasiasa watakimbilia makanisani na kuwaangukia wachungaji na maaskofu ili waokoe jahazi. Maana wengi wao, wanasiasa wameshindwa kuwahamasisha raia kujiandikisha. Sera za kuwa convince wananchi zimebuma. Wanasubiri huruma za waumini na wachungaji tu...
  8. pemgtoonet.com

    Sindano ya pepopunda ni tatizo siku hizi

    Siku hizi mtu mzima au mtoto ukiumia kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali, kupata huduma ya sindano ya tetenasi ni ishu kubwa sanaaa. Ilinikuta mwezi wa 1 mwaka huu, baada ya kuumia nilienda ktk kituo cha afya cha mbezi, wadai huduma hiyo hawana. Nikaenda zahanati binafsi kama 3 hv nikakosa...
  9. pemgtoonet.com

    Wataalamu wa mtandao

    Hbr ya saa hizi wataalamu? Simu yangu kuna app ina download muda wote. Ina maliza kudownload, inaanza tena, ikimaliza inaanza upya app hiyo hiyo kilasiku. Naomba msaada jinsi ya kusitisha isidownload. Ahsanteni
  10. pemgtoonet.com

    DAWASA /DAWASCO maeneo haya yanawahusu kwa hapa Dar

    Uzi maalumu wa kuwakumbusha DAWASA maeneo ambayo kwa hapa Dar maji ya bomba la dawasa bado ni ndoto tangia tupate uhuru. Cha kufanya kila mdau ataje maeneo anayojua kuna changamoto ya maji bado. Lengo ni kuwakumbusha hawa jamaa, waje kuweka mabomba ya maji. Nchi yetu sote, kwa nini wengine...
  11. pemgtoonet.com

    NMB tawi la Mbezi Luis

    Hbr za asubuhi wana jf. Kuna siku nilipita mbezi mwisho karibu na stendi ya daladala ya malamba mawili,nikaona jirani pale kuna tawi la benki ya Nmb. Vp wameshaanza kazi.? Wengine tuko porini huku, mjini hadi tuoge Kwanza, maana mkuu wa mkoa kadai tusije mjini hadi tuoge kwanza.
  12. pemgtoonet.com

    Upimaji wa DNA

    Last week ilitokea ajari moro ya moto. Na baadhi ya miili ilitambuliwa kwa ndugu kupima DNA. Sasa naomba kuuliza, kipimo cha DNA huchukuliwa cha ndugu yeyote tu au baba na mama wa marehemu? Na je kama ni cha baba tu, ikitokea mama alim,bambika mtoto, si ndio hakutakuwa na mfanano wowote. Nahisi...
  13. pemgtoonet.com

    Treni ya kisasa yenye spidi ya 400 km kwa saa...

    China inakaribia kuzindua treni ambayo ni VARIABLE GAUGE yenye mwendokasi (spidi) ya km 400 kwa saa. Hawa jamaa nomaa sana
  14. pemgtoonet.com

    Nyumba yenye thamani ya Tshs. Trillion 1 hapa bongo

    Kwanza nitoe pole kwa watanzania kwa msiba mzito uliotukuta. Hivi kuna nyumba yenye thamani ya tshs. Trillion 1 hapa Tanzania? Tunabishana hapa baada ya tajiri mkubwa India kumiliki mjengo wa ghorofa 7 wenye thamani ya trillion 2.3 za kibongo. Kuna jamaa anadai posta na K/Koo kuna mijengo ya...
  15. pemgtoonet.com

    Vigezo gani hutumika kupanga mkoa wa maadhimisho ya 8/8 kitaifa?

    Naomba kujua vigezo vinavyotumika kupanga eneo la kuadhimisha maonesho ya 8/8 kitaifa. Mwaka jana ilikuwa mkoa wa simiyu naona na mwaka huu ni hukohuko. Je haiwezekani kupeleka maadhimisho mikoa tofauti kila mwaka?
  16. pemgtoonet.com

    Kipi hasa alichokosea Rais hadi kukosa imani nae 2020?

    Hbr ya jpili ndugu zangu watanzania? Hv karibuni kumezuka makundi mengi ambayo yapo against na utawala wa sasa. Nikikumbuka vzr 2015 hadi 2017 watu wengi waliukubali sana utawala wa sasa. Ni wapi utawala wa sasa umekosea ili wakiona humu maoni yenu huenda wakaufanyia kazi. Toa maoni au ushauri...
  17. pemgtoonet.com

    Utapeli mpya kwa watumishi wa umma

    Kuna utapeli mpya umeingia kwa kasi kubwa hasa kwa watumishi wa umma. Kuna mtu anakupigia simu, anakutajia vigezo vyote vilivyopo kwenye faili lako la ajira either la halmashauri au tamisemi. Anakutajia check no. Yako kama ilivyo, tarehe ya kuajiriwa kwa usahihi kabisa, na taarifa zote...
  18. pemgtoonet.com

    Kuanzia jana mitandao ya simu kuandika EMERGENCY....

    Jana line ya tigo kwangu muda mwingi ilikuwa inaandika emergency muda mwingi. Na jioni wakatuma msg kuomba radhi. Leo line ya voda ipo emergency muda mwingi,mwenye taarifa atujuze nini kinaendelea. Au ndio kusema wanatest mitambo ili usajili kwa alama za vidole,muda ukiisha waziblock line zetu?
  19. pemgtoonet.com

    Burundi: Serikali kuanza kuwakata mshahara watumishi wa umma kufidia uchaguzi 2020

    Watumishi wa umma wataanza kukatwa kwenye mshahara wao asilimia kadhaa ili kufidia gharama uchaguzi 2020. Baadhi kukatwa hadi dollar 50 ili kusaidia uchaguzi huo utakaofanyika. Hii ni kwa watumishi wote wa umma wa nchini BURUNDI. Chanzo: BBC London
  20. pemgtoonet.com

    Wana MTWARA sio kila jambo lazima muwambie viongozi wa juu...

    Nimeona kwenye Habari za saa ITV...eti wakulima wamemsimamisha waziri kisa wadudu wa kawaida-funza wale wanakula mazao kule Iringa na Njombe wanaita MBENG'I ambao ukipiga dawa tu wanakufa,na ni wakawaida hao hasa ukichelewa kupuliza dawa.Wangekuwa viwavi jeshi hapo sawa, funza tu hao...
Back
Top Bottom