pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 880
- 618
Last week ilitokea ajari moro ya moto. Na baadhi ya miili ilitambuliwa kwa ndugu kupima DNA. Sasa naomba kuuliza, kipimo cha DNA huchukuliwa cha ndugu yeyote tu au baba na mama wa marehemu? Na je kama ni cha baba tu, ikitokea mama alim,bambika mtoto, si ndio hakutakuwa na mfanano wowote.
Nahisi baadhi ya DNA zitakuwa haziku match na yeyote hasa wale watoto wa kusingiziwa. Wataalamu tupeni ujuzi hapo.
Nahisi baadhi ya DNA zitakuwa haziku match na yeyote hasa wale watoto wa kusingiziwa. Wataalamu tupeni ujuzi hapo.