pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 880
- 618
Kwa nyakati tofauti, tumeshuhudia upendo wa Mh. Rais kwa wananchi wake akiwazawadia mihela kama yote.
Kila ziara amekuwa akigawa pesa kwa wananchi wenye matatizo mbalimbali ya kiuchumi.
Mfano, ni pale muhimbili aliwasaidia wahanga wa moto laki 5 kila mmoja.
Madaktari na nesi pia aliwapa chochote.
Pia kila ziara amemwaga pesa, Tanzania ni nchi tajiri kama asemavyo yeye.
Sasa ni zamu ya watumishi wa umma wote kuboreshewa mishahara yao. Maana toka 2015, waliorekebishiwa madaraja hata robo hawafiki.
Wengi wamepewa barua tu za kupanda madaraja, ila no. Mabadiliko ktk mishahara yao.
Pia, kuhusu kubadili muundo wa salary bado kimya, au wangoje hadi Yesu arudi kwa mara ya 2?
Rais wetu inaonekana una huruma sana, basi hiyo huruma pia iwafikie na wanao ambao ni watumishi wa umma.
Wanalia sana huku mtaani pia wanadharauliwa kinyama.
Wape furaha ya kweli watumishi wako.
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
#ova
Kila ziara amekuwa akigawa pesa kwa wananchi wenye matatizo mbalimbali ya kiuchumi.
Mfano, ni pale muhimbili aliwasaidia wahanga wa moto laki 5 kila mmoja.
Madaktari na nesi pia aliwapa chochote.
Pia kila ziara amemwaga pesa, Tanzania ni nchi tajiri kama asemavyo yeye.
Sasa ni zamu ya watumishi wa umma wote kuboreshewa mishahara yao. Maana toka 2015, waliorekebishiwa madaraja hata robo hawafiki.
Wengi wamepewa barua tu za kupanda madaraja, ila no. Mabadiliko ktk mishahara yao.
Pia, kuhusu kubadili muundo wa salary bado kimya, au wangoje hadi Yesu arudi kwa mara ya 2?
Rais wetu inaonekana una huruma sana, basi hiyo huruma pia iwafikie na wanao ambao ni watumishi wa umma.
Wanalia sana huku mtaani pia wanadharauliwa kinyama.
Wape furaha ya kweli watumishi wako.
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu.
#ova