Ni kweli kuna walakini sana mimi huwa nanunua kifurushi cha siku cha Tigo cha 2000 chenye GB1 kinakatika kwa kuangalia masage chache za whatsup Jamiiforums na Twitter . TCRA watakuwa na kitu kidogo wanapata.
Nilipata ya kutembelea makumbusho ya DSM niliongea kwa kina na wahusika kuhusu mtu wa kale kuwa tulikuwa samaki halafu tukaja kuwa watu baada ya maswali tulianzaje kubadilika kuwa watu alikubali kuwa nadharia ya Darwin ina mapungufu sana na kukubali kuwa kimsingi kuna umbaji umefanyika na Mungu.
Hiivi huyu mzungu alipataje ardhi? Ni Nani alimlipa fidia wakati anatwaa hilo shamba. Ni wakati wa sisi kudai fidia kwa mashamba waliowanyanganya babu zetu kupitia mahakama hizohizo.
Ukifuata sana ushauri wa NGO za kiimataifa utakwamishwa katika mambo Mengi ya kimaendeleo. Nchi ya Dubai ilipoanza Kujenga mji ndani ya baharri walipingwa sana kuwa wanaharibu ekolojia ya bahari,lakini walijenga na kufanikiwa kuvuta wawekezaji katika visiiwa hivyo nakukuza uchumi wao.
ni kweli Mazingira ya kibiashara hayawezi kuwa sawa kati ya wafugaji wadogo na hao breeders maana bei ya kifaranga wanapanga wao na bei ya chakula cha kuku wanapanga wao na kipo bei juu, hivyo wanamlazimisha mfugaji mdogo auze kwa bei ya juu ili afidie gharama za uzalishaji au apunguze bei...
kitendo cha Barrick kuongeza nguvu kama ni kweli kinathibitisha timu yetu iko vizuri kiasi timu ya Barrick ya awali ilielemewa hivyo ni pongezi kwa upande wa timu yetu.Zamani walikuwa wawakilishi wetu ndio waliokuwa wanatusaliti lakini sasa wamekuwa wazalendo hivyo Barrick kuwa na wakati...
ninatatizo la kutoa virus katika kompyuta na flash zangu nimeweka kapersky antivirus na pia niliinstall upya windows seven lakini bado naona kuna virus vinavyosababisha flash mpya kutoweza kutumika maana nikisave kitu katika flash hakifunguki au kinaharibika naomba ushauri nifanyeje nisafishe...
German East Africa Coins
piekenier
19K Views 36 Like 36 Likes Comments Comment
Like if this guide is helpful
Please sign in to like this Guide.
Share
September 6, 2008
The only German colonies that coins were produced for were German New Guinea (8 different Coins ) , German Kiautschou (2...
German treasures?
In Tanzania there are several spots, such as this one near Butiama (photo, below), with unexplained marks on rocks. The unconfirmed explanation given by some reveals that the signs were made by German colonialists who were in Tanganyika between 1891 and 1919. The Germans...
Hakuna kitu kizuri kama kumjua mchawi wako hata kama anaweza kukudhuru, maana tunajua kuwa mchawi ameumbuka hadharani hilo ni pigo kubwa ambapo heshima yake imevunjika mbele ya jamii tunangojea tume iliyobaki ya kisheria ili tumvue nguo zote.Media ni silaha kubwa sana baada ya hapo waswahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.