SULEIMAN ABEID
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 390
- 385
TCRA hawa wamiliki wa mitandao ya simu mbona hamuwachukulii hatua!
Kila saa wanabadili viwango vya gharama zao iwe kwenye Internet au Muda wa maongezi bila taarifa, nyie kimyaaa! Au na hili mpaka Magufuli 'AFOKE'?!
Inaonesha mmepwaya kwenye nafasi zenu kuna haja mjipime kama bado mnatosha?
Kila saa wanabadili viwango vya gharama zao iwe kwenye Internet au Muda wa maongezi bila taarifa, nyie kimyaaa! Au na hili mpaka Magufuli 'AFOKE'?!
Inaonesha mmepwaya kwenye nafasi zenu kuna haja mjipime kama bado mnatosha?