Hivi Tanzania tunaweza kumaliza miaka miwili bila support ya wafadhili na mambo yakaenda?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,101
144,560
Hivi sisi watanzani,makusanyo yetu kwa mwezi na matumizi yetu kwa mwezi, yanaweza kweli kutufanya tuka-survive walau miaka 2 tu bila kuanza kuyumba kama kama nchi?

Kama kweli tunakusanya trilioni 1.3 kwa mwezi,tujiulize tunalipa kiasi gani mishahara kwa watumishi wa umma na tunatulipa kiasi gani kuhudumia deni la Taifa na tunabaki na kiasi gani?

Je,hatuna nakisi?

Je,huwa hatulazimiki kukopa kulipa deni la Taifa?

Kama pamoja na mikopo na misaada hali ndio hiii,itakuwaje wakitukatia misaada na mikopo hiyo?

Je,tumejiandaa kukabiliana na hali hii iwapo itatatokea na kudumu walau kwa miaka miwili tu?

Je,hatutalazimika kuja na kodi ambazo hatukuwahi hata kuziwaza?

Hii miradi ya matrilioni ya JPM, baadhi kama sio yote,haiwezi kukwama?

Elimu bure itawezekana?

Mikopo vyuo vikuu itaendelea kutolewa,n.k?

Hebu someni hii kisha mtafakari:

Heche: Makusanyo kwa mwaka ni trilioni 14, mishahara mnalipa trilioni 7 na deni la Taifa mnalipa trilioni 9. Fedha za ndani kujenga SGR mnatoa wapi? - JamiiForums

Mimi naomba uzima tu tuone tutafika wapi iwapo hatutajishusha kama alivyoshauri Balozi Khamisi Kagasheki kwa kutaka diplomasia itumike katika hili swala.
 
Watanzania wa leo,wataweza kuvumilia hali hiyo?

Hawatamgeuka JPM?
Wazimbabwe wamevumilia sana mwisho wa siku, wote tunafahamu kilichotokea.

Hata wakati wa Nyerere walishindwa kabisa kumvumilia. Nadhani hakuna rais aliyekoswakoswa kupinduliwa zaidi ya Nyerere (kwa Tanzania).

Kwa sasa tuombe Mungu ampe fahamu njema rais Magufuli na asifanye ubishi, atumie diplomasia ya hali ya juu. Wana diplomasia waliobobea tunao, tuna wastaafu wawili Jakaya na Ben ni mabingwa wa diplomasia.

Kinachohitajika ni U turn na diplomasia.

Upinzani wa Tanzania unadhibitika kiulaini kama alivyokuwa akiwafanyia Kikwete, kiurafiki kabisa.

Tatizo tunalo na si dogo. Mpaka Rais wa nchi kufikia kutangaza vita ya uchumi, nadhani tumefika pabaya.

Tunaomba sana rais wetu kabla hajajibu au kufanya maamuzi yoyote akae na Jakaya na Ben wayajenge.

Yanatatulika lakini tusibeze.
 
Wazimbabwe wamevumilia sana mwisho wa siku, wote tunafahamu kilichotokea.

Hata wakati wa Nyerere walishindwa kabisa kumvumilia. Nadhani hakuna rais aliyekoswakoswa kupinduliwa zaidi ya Nyerere (kwa Tanzania).

Kwa sasa tuombe Mungu ampe fahamu njema rais Magufuli na asifanye ubishi, atumie diplomasia ya hali ya juu. Wana diplomasia waliobobea tunao, tuna wastaafu wawili Jakaya na Ben ni mabingwa wa diplomasia.

Kinachohitajika ni U turn na diplomasia.

Upinzani wa Tanzania unadhibitika kiulaini kama alivyokuwa akiwafanyia Kikwete, kiurafiki kabisa.

Tatizo tunalo na si dogo. Mpaka Rais wa nchi kufikia kutangaza vita ya uchumi, nadhani tumefika pabaya.

Tunaomba sana rais wetu kabla hajajibu au kufanya maamuzi yoyote akae na Jakaya na Ben wayajenge.

Yanatatulika lakini tusibeze.
Tatizo la bwana mkubwa hapendi kujishusha na zaidi kamwe hata kuonekane ameshindwa.

Akiwajibu kibabe,ajue tu hawataishia kukata misaada na mikopo,bali anaweza kukabiliwa na vikwazo.

Inawezekana hata kumkamata Salimu Mwalimu wa CHADEMA leo hii illikuwa ni kujibu kwa vitendo kuwa yeye hapangiwi wala hatishwi.

Hata hivyo, yatamshinda tu maana hana hela,hana viwanda,amejaa madeni,n.k.
 
Tatizo la bwana mkubwa hapendi kujishusha na zaidi kamwe hata kuonekane ameshindwa.

Akiwajibu kibabe,ajue tu hawataishia kukata misaada na mikopo,bali anaweza kukabiliwa na vikwazo.

Inawezekana hata kumkamata Salimu Mwalimu wa CHADEMA leo hii illikuwa ni kujibu kwa vitendo kuwa yeye hapangiwi wala hatishwi.

Hata hivyo, yatamshinda tu maana hana hela,hana viwanda,amejaa madeni,n.k.
Wala haihitaji kujishusha na wala hakuna kushindwa, ni simple, kula uliwe.

Amfate tu aliyetuhubiria hilo neno, mambo yote yatakuwa swaaafi.
 
Wazimbabwe wamevumilia sana mwisho wa siku, wote tunafahamu kilichotokea.

Hata wakati wa Nyerere walishindwa kabisa kumvumilia. Nadhani hakuna rais aliyekoswakoswa kupinduliwa zaidi ya Nyerere (kwa Tanzania).

Kwa sasa tuombe Mungu ampe fahamu njema rais Magufuli na asifanye ubishi, atumie diplomasia ya hali ya juu. Wana diplomasia waliobobea tunao, tuna wastaafu wawili Jakaya na Ben ni mabingwa wa diplomasia.

Kinachohitajika ni U turn na diplomasia.

Upinzani wa Tanzania unadhibitika kiulaini kama alivyokuwa akiwafanyia Kikwete, kiurafiki kabisa.

Tatizo tunalo na si dogo. Mpaka Rais wa nchi kufikia kutangaza vita ya uchumi, nadhani tumefika pabaya.

Tunaomba sana rais wetu kabla hajajibu au kufanya maamuzi yoyote akae na Jakaya na Ben wayajenge.

Yanatatulika lakini tusibeze.
That will never happen ...!!

Naamini atawatafutia siku awajibu vizuri. Hiyo ndiyo character yake na hakuna mtu wa kumbadilisha.
 
Wazimbabwe wamevumilia sana mwisho wa siku, wote tunafahamu kilichotokea.

Hata wakati wa Nyerere walishindwa kabisa kumvumilia. Nadhani hakuna rais aliyekoswakoswa kupinduliwa zaidi ya Nyerere (kwa Tanzania).

Kwa sasa tuombe Mungu ampe fahamu njema rais Magufuli na asifanye ubishi, atumie diplomasia ya hali ya juu. Wana diplomasia waliobobea tunao, tuna wastaafu wawili Jakaya na Ben ni mabingwa wa diplomasia.

Kinachohitajika ni U turn na diplomasia.

Upinzani wa Tanzania unadhibitika kiulaini kama alivyokuwa akiwafanyia Kikwete, kiurafiki kabisa.

Tatizo tunalo na si dogo. Mpaka Rais wa nchi kufikia kutangaza vita ya uchumi, nadhani tumefika pabaya.

Tunaomba sana rais wetu kabla hajajibu au kufanya maamuzi yoyote akae na Jakaya na Ben wayajenge.

Yanatatulika lakini tusibeze.
Tuombe Mungu yaishe salama
 
That will never happen ...!!

Naamini atawatafutia siku awajibu vizuri. Hiyo ndiyo character yake na hakuna mtu wa kumbadilisha.
Unless kuwe na ushauri unaompa kibri ambao sisi hatuufahamu lakini nimuonavyo ni mtu anaeshaurika ingawa kwa shingo upande.
 
Wala haihitaji kujishusha na wala hakuna kushindwa, ni simple, kula uliwe.

Amfate tu aliyetuhubiria hilo neno, mambo yote yatakuwa swaaafi.
Hivi ile thread yako ya Ushauri kwa JPM, kuna ushauri uliotolewa tunaoweza kutumia..!!?
 
Ni wewe kweli??
Wazimbabwe wamevumilia sana mwisho wa siku, wote tunafahamu kilichotokea.

Hata wakati wa Nyerere walishindwa kabisa kumvumilia. Nadhani hakuna rais aliyekoswakoswa kupinduliwa zaidi ya Nyerere (kwa Tanzania).

Kwa sasa tuombe Mungu ampe fahamu njema rais Magufuli na asifanye ubishi, atumie diplomasia ya hali ya juu. Wana diplomasia waliobobea tunao, tuna wastaafu wawili Jakaya na Ben ni mabingwa wa diplomasia.

Kinachohitajika ni U turn na diplomasia.

Upinzani wa Tanzania unadhibitika kiulaini kama alivyokuwa akiwafanyia Kikwete, kiurafiki kabisa.

Tatizo tunalo na si dogo. Mpaka Rais wa nchi kufikia kutangaza vita ya uchumi, nadhani tumefika pabaya.

Tunaomba sana rais wetu kabla hajajibu au kufanya maamuzi yoyote akae na Jakaya na Ben wayajenge.

Yanatatulika lakini tusibeze.
 
Wala haihitaji kujishusha na wala hakuna kushindwa, ni simple, kula uliwe.

Amfate tu aliyetuhubiria hilo nenoambo yote yatakuwa swaaafi.
Mimi sioni alichowabana kiasi kwambe ndio iwe sababu zaidi ya ukandamizaj wake wa raia,kum-harass balozi wa EU,sheria kandamizi kama ile ya takwimu,kufukuza mashuleni watoto wenye mimba na kingine ni hiyo issue ya mashoga na mambo mengineyo lakini sio kweli eti kuna masilahi yao ameyagusa.
 
Juzi kuna mkubwa mmoja nilimsikia akijigamba mbele ya mkulu kuwa tupo vizuri tuna fedha za kigeni za kununua bidhaa nje kwa miezi mitano, nikasema hiii...
 
Back
Top Bottom