mzee unatakiwa uwe makini na vitu unavyowajuza wenzio.mimi nipo ngara lakini habari sahii aaliyepata ajali ni askari wetu wa Jw.omba msamaha kwenye ukumbi.
umemsahau na Gibson Mwanamkiwa, kwa sasa ni watu wazima majukumu yamewakaba km karo n.k. zamani mara tu baada ya chai kalamu haibanduki mkononi hadi dinner wanaandika makadi tu.
Tusizungumze mengi. wote kwa pamoja wanatugombania kama mwanamke malaya.mabwana wote wanatutaka .jiulize wanataka nn kwetu wakati wanawake wenzetu wapo.
siyo askari tu ila hata raia anaweza kuua .nenda kwa waasheria watakujuza ni mazingira gani askari/raia anaweza akaua na sheria ikajustfy mauaji hayo.si kila kitu unakuwa mbishi.
Kama wameshindwa kuwaamini wenye mamlaka watamuaminije huyu ambaye hata wazo kwamba Mtwara kuna gesi ni ndoto kwake?. A cha unazi wa kisiasa kuchekelea wakati watu wako ktk wakati mgumu.
Naona wenye ushauri kuwa umrudie mkeo hawajawahi kuolewa na kama wameolewa waume zao ni Bushoke.Nakushauri mruhusu boy wako aende kumuona.Wewe endelea kumfungia vioo ili wengine wajifunze.uliona wapi mw'mke ana waume wawili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.