Polisi anaruhusiwa kuua ikiwa Mhalifu atasababisha Maafa kwa jamii.
Acheni kupotosha. Waziri yupo sahihi.
Kwako na kwa Shetani yupo sahihi lakini kwa MUNGU hakuna muuwaji ambaye yupo sahihi na atakayekuwa sahihi.Maana imeandikwa katika Amri za MUNGU. USIUE.