U wapi utu watanzania?Wagongwe tu mana hatunajinsi na tumechoka
Nmeshuhudia trafiki akiburuzwa hapa kwny taa za veta nyerereroad muda huu..trafiki alikua kwny pkpk..mwny taarifa zaid atujuze
U wapi utu watanzuania?
Mkuu mbona una hasira sana leo?Wewe kweli kichwa upepo wendie umeleta mada na upo kwenye tukio tena sisi tupo kisarawe tukujuze wewe kweli kilaza
Wewe kweli kichwa upepo wendie umeleta mada na upo kwenye tukio tena sisi tupo kisarawe tukujuze wewe kweli kilaza
Nmeshuhudia trafiki
akiburuzwa hapa kwny taa za veta nyerereroad muda huu..trafiki alikua
kwny pkpk..mwny taarifa zaid atujuze
Wewe si umesema upo kwenye tukio umeshuhudia sasa sie ambao hatupo eneo hlo tukujuze nini? Sometime muwe mnatumia brain hata kidogo.
Jamani tuuweke ubinadamu mbele. Mleta mada ameshajieleza kwamba alikuwa kwenye daladala. Anaomba kama kuna mtu mwingine aliyekuwa nje na aliyeshuhudia tukio atueleze kwa kina. Tuache kumrushia mawe kwa kutoa habari kama alivyoweza. Maana ya JF ni jukwaa la kuhabarishana na kutafuta taarifa zaidi. Great Thinkers, tusishushe hadhi ya jamvi letu kwa kubishana kusikoleta tija! Amani...
Mkuu mbona unua hasira sana leo?
U wapi utu watanzania?
mzee unatakiwa uwe makini na vitu unavyowajuza wenzio.mimi nipo ngara lakini habari sahii aaliyepata ajali ni askari wetu wa Jw.omba msamaha kwenye ukumbi.
Wewe kweli kichwa upepo wendie umeleta mada na upo kwenye tukio tena sisi tupo kisarawe tukujuze wewe kweli kilaza
Wagongwe tu mana hatunajinsi na tumechoka
Nmeshuhudia trafiki akiburuzwa hapa kwenye taa za VETA Nyerere road muda huu.Trafiki alikuwa kwenye pikipiki.