Unataka kuniambia analala sebuleni kama phoenex?
umeyajuaje hayo mtoto wa uswaz wewe.
Unataka kuniambia analala sebuleni kama phoenex?
Ndugu zanguni,
Baada ya kuona kila kukicha tunaendelea kusikia hizi habari zenye kukera
kuhusu kesi inayomkabili mbunge wa Arusha God bless Lema.
Mimi kama rafiki wa zamani wa Lema nimeamua kujitolea kumplipia gharama
zote ili aje hapa UK kukanusha uzushi huu ambao ni aibu kwa taifa letu
kuwa na mbunge ambaye anatafutwa kwa kesi ya aibu ya kubaka.
Mimi kama wananchi wengine sipendi kuona jina la mheshimiwa lina
chafuliwa hivyo nimeamua kuwa nitalipa kila kitu kuanzia tiketi ya
ndege, ada ya visa na pia gharama za hoteli, chakula na vinywaji kwa
kipindi chote mheshimiwa atakapokuwa hapa.
Mheshimiwa Lema najua uko hapa lakini kama haupo basi najua yule kijana
mwenye kutembea sumu mfukoni lazima atakupatia huu ujumbe. Mimi naamini
kama ulivyonisimulia hukubaka ila ....??? na nitasimama kukutetea .
JITAMBUE!
Mwizi wa Simu upo well informed.Hongera kwa kujiimarisha kwenye fani!
Mkubwa Lema mimi ndio nilimpokea alipokuja mwanzo na nilimgharamia mpaka alipoondoka na kuwafungulia tawi misukule wenzako . Kama unabisha si umuite tu kamanda wako aje hapa kukanusha?mwenyewe unamtegemea malkia akulishe..
umeyajuaje hayo mtoto wa uswaz wewe.
UK unakaa kwa dada yako halafu unaanza kualika watu. Omba kwanza ruhusa kwa shemeji yako (mume wa dada yako) akupe ruhusa ya maandishi uiweke hapa jamvini tumuoneshe Mh.Lema
Mkubwa Lema mimi ndio nilimpokea alipokuja mwanzo na nilimgharamia mpaka alipoondoka na kuwafungulia tawi misukule wenzako . Kama unabisha si umuite tu kamanda wako aje hapa kukanusha?
Ndugu zanguni,
Baada ya kuona kila kukicha tunaendelea kusikia hizi habari zenye kukera
kuhusu kesi inayomkabili mbunge wa Arusha God bless Lema.
Mimi kama rafiki wa zamani wa Lema nimeamua kujitolea kumplipia gharama
zote ili aje hapa UK kukanusha uzushi huu ambao ni aibu kwa taifa letu
kuwa na mbunge ambaye anatafutwa kwa kesi ya aibu ya kubaka.
Mimi kama wananchi wengine sipendi kuona jina la mheshimiwa lina
chafuliwa hivyo nimeamua kuwa nitalipa kila kitu kuanzia tiketi ya
ndege, ada ya visa na pia gharama za hoteli, chakula na vinywaji kwa
kipindi chote mheshimiwa atakapokuwa hapa.
Mheshimiwa Lema najua uko hapa lakini kama haupo basi najua yule kijana
mwenye kutembea sumu mfukoni lazima atakupatia huu ujumbe. Mimi naamini
kama ulivyonisimulia hukubaka ila ....??? na nitasimama kukutetea .
JITAMBUE!
kama kawa kazi ya kugawa namba za speker na sisi tutaweka nambar za viongozi wa cdm mkutanoni.
Mkubwa Lema mimi ndio nilimpokea alipokuja mwanzo na nilimgharamia mpaka alipoondoka na kuwafungulia tawi misukule wenzako . Kama unabisha si umuite tu kamanda wako aje hapa kukanusha?
mkuu lukosi, mfanyie booking kabisa
sasa picha ya mtu aliyelala ni siri??? acha uzuzu
Ni jambo jema na la kuungwa mkono
Lema nenda basi Uingereza hata siku mbili kasafishe jina tuone kama utarudi.
Hivi Lema sio verified member JF? Mbona hii kashfa iko muda mrefu na hajawahi kukanusha?
Inawezekana ikawa kweli nini? Maana Lema naye anaonekana mjanja mjanja hivi!
usiitoe wengine hawamjui huyo mbakaji wanasikia tu lema lema
Matusi hayawezi kuondoa ukweli. Utatukana sana mpaka kihehe lakini kesi ya Lema itabaki pale pale. Kama wewe kweli una hekima na busara, Mshauri Lema kwenda UK kusafisha jina lake katika tuhuma zinazomkabili.
Chama jina watu wa ahabu sana kinaongozwa na dj then katibu ni padri aliyeasi then kuna gaidi nayesimamia usalama wa chama now mbakaji naye ni kiongozi duh Yani uongozi mzima una kesi khaaaaa chama kama Gari la mkaa tripu Shamba tripu gereji