Haya waungwana, Taifa Stars leo inasaka pointi 3 muhimu mikononi mwa C.A.R ambao kwa sasa ndio viongozi wa kundi D, linalojumuisha timu zingine za Algeria, na Morrocco. Tunaomba wadau wanaojua matokeo au chochote kuhusu mechi hii watuhabarishe. Mungu ibariki Tanzania, ibariki Taifa Stars iweze...
"TUNAJUA matokeo yetu yamewanyong'onyesha Watanzania, hatutawaangusha tena,
tutaifunga Uganda na kufuzu nusu fainali," hiyo ni kauli ya nahodha wa Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa akizungumzia mchezo wa leo na kunukuliwa na gazeti la Habari leo.
Mchezo huo utaonyeshwa kwenye intanet kwa kutumia...
Timu yetu ya Taifa inaanza kampeni za kutwaa kombe la bonde la mto Nile kwa kutupa karata yake ya kwanza kesho kwa kupambana na timu ya taifa ya Misri. Stars ambayo kwa mara ya mwisho ilifungwa bao 5-1 na Misri imesema imejipanga si tu kulipa kisasi dhidi ya Misri bali pia kuhakikisha inashinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.