Habari za majukumu wadau
Natafuta dalali ambaye anaweza nisaidia kupata wanafunzi wa chuo, nina hostel maeneo ya Mbagala kipati. Hostel ipo kadiri ya kilometa 5 toka vyuo vya TIA na Chuo cha Diplomasia na kilometa 6 chuo cha DUCE.
Kama kuna mtu anaemjua dalali yeyote mzuri anisaidie namba zake...
Kuna mtu anaitwa Nathoo(Natu), anaweza akakuagizia. We have Peugeot 607 na vifaa vingi tunaagiza kwake. Lakini pia hua tunaagiza UK kuna watu nawajua ambao wanaweza kukuletea huku. Ni wewe tu bajeti yako ila dunia siku hizi ndogo vitu vinapatikana.
Wadau, habari?
Napangisha nyumba Iringa maeneo ya mkimbizi iko katika hali nzuri sana, Kodi kwa Mwezi ni 300,000
Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane katika namba 0717373190,
Asante.
Actually mi naendesha ford maverick ambayo ni sawa kabisa na ford escape, ni manual 2.0. Ni gari nzuri kwa kweli,nimesafiri nayo sana sema sasa mashock up hayo yananizingua ila asante sana kwa ushauri
Nissan patrol inauzwa
Features
SGL 3.0 Di, Manual transmission,ya mwaka 2001, Service history CFAO/DT DOBIE, imetembea kilometres 80,000. Iko katika hali nzuri sana
Bei ni TSH 38,000,000 imelipiwa kodi (bei maelewano)
Jamaican Caribbean gourmet restaurant
We are looking for candidates who can fill the following Restaurant posts:
1. Restaurant Manager-1
2. Bartender
3. Waiters
4. Kitchen head staff-1
5. Assistant chef-2
6. Kitchen Porter-1
Generally applicants should have the following
Fluent in...
I really need to know how did the owner of Jamiiforum and Zoomtanzania became very successfully in such a short time?Naombeni siri ya mafanikio yenu jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.