Umeona na kutushauri vizuri sana.Pia naomba nikushauri.Ukiona inafaa wapeleke watoto shule ambayo iko karibu na unapokaa na inayokupendeza kwa vyote na achana na shule isiyokupendeza,mwache kila mtu apeleke watoto anapotaka ambapo halazimishwi.Wache wamiliki waweke vigezo vyao ukiona havikufai...
Walicho fanyia ni kuwa hacker inavyoonekana alfa jirejister kwenye device nyingine six digits codes ikaenda kwa simu halali ya mshkaji kisha haka akamwomba mshkaji amrushie zile code kwasababu mshkaji hakuelewa nia au tuseme sii mtaalamu kidogo wa maswala ya tech akatumtumia na hapo ndipo...
Samahani kama kichwa cha habari hakijatulia.Naomba mwongozo wa nini kifanyike au nimshauri rafiki yangu whatspp namba yake ime be hacked na aliyemhak sasa ana access magroup yote ambayo jamaa yupo na anamtoa na kuleta usumbufu
Wewe ni Mkenya au Mtanzania uliyetumwa kuandika haya na wakenya??? Basi sawa umeeleweka. Lakini sisi Watanzania watoto wa Baba yetu Mpendwa Dr.John Pombe Joseph Magufuli tunamkubali yeye,maono aliyokuwa nayo pamoja na sera zake.Hata hilo unalolalama hapa wasaidizi wake wenye ueledi wameliona na...
Naona sasa maboresho ya hospitali yetu teule ya Milembe pale Dodoma yazidi kuboreshwa kwa hali hii tutarajie wagonjwa wa magonjwa yale kuzidi kutoka nchi jirani kwani hawajui watokako wala waelekeako.
wakenya wanafiki sana Mkuu.Safari hii wamekutana na Babalao.Long live Rais wetu mpendwa Dr.John Joseph Pombe Magufuli kwa kutudumishia heshima.Hapo Mkuu umemaliza kila kitu sijui kama kuna mtu ataweza kuijibu hoja yako hapo.
Huyo jamaa anayejiita MK254 sijui yuko na hali gani sasa hivi? Kwani walibana wakaachia kuhusiana na suala la upimaji wa CORONA etu wakatupatia masharti,tukawaambia wafuate masharti ya Mother Country "The King of East Africa" = Tanzania. Na hii ya sasa ndio atakuwa hoi bin taabani.Viva Tanzania
Nilijua wataachia kwani hawana ujanja wa kubana bila kuachia na sasa nasubiria utetezi wao wa kijinginga wa kwanini wamebana kisha wakaachia.Dr.John Pombe Joseph Magufuli Babalao
Haya yote si ukayalilie kwenu kenya?? Sisi tulivyonavyo vinatutosheleza na vitatusheleza.Mpaka muwe na adabu ndiyo tutajaribu kuwafikiria.
Ebu nikumbushe tena,mlikuwa mnamiruko mingapi vile kwa siku huku kwetu Tanzania na hasara kiasi gani mmepata mpaka sasa kwa kukosa hiyo miruko?? Tunataka...
wakenya mtajibeba safari hii.Si mlimwaga mboga? Sasa sisi tumemwaga ugali. Hivi najiuliza tu,kwani wakenya walifanya uwekezaji wa ndege zao wakiitegemea The Great Country Tanzania? na kama ndiyo hivyo mbona hawatuheshimu na wakati tumeshika kwenye mpini angali wao wameshika kwenye makali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.