upo sawa mkuu unajua watu hawapendi kuambiwa ukweli mimi sijaona kitu ambacho lema amekifanya toka amekuwa mbunge zaidi ya maandamano, vurugu na shida tu ndani ya A town hili ni jiji la kitalii bwana wala usiongee sana nani asiyemjua kuwa alikuwa mpiga debe ndiyo shida yenye mkuu achana nao...
shida ya wabongo tunapenda kujudge vitu ambavyo havituhusu wewe hizo salary zao umezipata wapi na una uhakika gani na salary zao ebu jaribu kufuata yanayotuhusu achana na mambo ambayo yapo nje ya uwezo wako, think about your country forget about the rest
wachaga wana kila sababu ya kushikilia sekta nyingi kwanza ukienda mkoa wowote ukakuta kuna maendeleo basi jua wachaga wameamia hapo kama anaanza kazi ya umachinga baada ya miaka 2 unakuta kajenga gorofa c mchezo hawa jamaa hivyo tusiwaonee wivu ni juhudi zao
tusilaumu kuwa wanawake hawazai je umeshajaribu kwenda hospital pia wanaume siku hizi wapo wengi tasa hasa kutokana na msongo wa mawazo, uvutaji wa sigara, pombe, mihadarati, hata laptop tunazotumia hasa tukiziweka kwenye mapaja pia zinaleta matatizo, kuendesha magari hasa safari ndefu kwa muda...
huo ni ugonjwa na unatokana na baadhi ya akina dada kutumia vipodozi ambavyo vina sumu fulani suluhisho ni kwenda hospital kwa ushauri zaidi pole sana kaka
nadhani kwa kuwa wachina wako juu kwa sasa akitumia hivyo virutubisho vya kichina ndo utapata mwanamke mwenye sifa zote ambazo umezitaja hapo juu hongera kaka
mmh hapo amwombe mwenyezi Mungu ili mumewe abadilike cos kumwacha cyo solution kama jamaa amezoea ataendelea na mchezo tu na pia atakuwa amempa nafasi nzuri zaidi ya kuendeleza mchezo wake ampeleke akapewe ushauri nasaa
shida ya CHADEMA ni kwamba hata maandamano yao lazima watu waumie ni kwa nini? tujiulize wadanganyika ni kweli CHADEMA itakufa kama ilivyokufa NCCR hizo ni nguvu za soda tu tuone mwisho
tuzidanganyane hakuna hata mmoja atakayeweza kukuletea maendeleo isipokuwa ni wewe mwenyewe kwanza Zitoo ni kichwa huyo Slaa ni matatizo tu kama aliushindwa upadri na sisi c atatuyumbisha tu bwana rais ni wewe mwenyewe wanasiasa wote ni wasanii tu ikulu kunani?
hahaha kwa kweli kumbebea mtu mimba cyo tiketi ya kuolewa kwani wanaume wa kisasa hata wanawake huwezi kuta anaoa au kuolewa bila ya kuwa na mtoto ambaye alizaa enzi hizo hivyo kwa sasa wanawake wasijidanganye kubeba mimba hovyo hayo ni mawazo yangu
Mie kwa upande wangu nashanga kuhusu hiyo rufani yake kweli kuna ukweli wowote cos kila wakati inahairishwa je nani mkweli kwenye hili suala lake:israel:
mpenzi wangu haeleweki nikimpigia simu, tupange lini tuonane ananijibu kuwa hana muda siku nyingine anasema ana kazi nyingi mara anafua mara anaenda kanisani alimradi visingizio kibao :A S-baby:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.