Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
unauliza swali kama nani? muandaaji wa miss cc au mdhamini, naomba kujua hilo kwanza ndipo nijibu swali lako tafadhali. .
km mpiga kura atakaejb anakula kura yng.
unauliza swali kama nani? muandaaji wa miss cc au mdhamini, naomba kujua hilo kwanza ndipo nijibu swali lako tafadhali. .
Hapa mathematics ndo mwake we piga kura kwa ciello vote 4changes!
radh kwa lip? A2jibie ce vilaza.
km mpiga kura atakaejb anakula kura yng.
Kuonyesha mleta mada alivyo kilaza, ameshindwa hata kulibadili kidogo ili lionekane jipya.
kwani ungesema nguo inauzwa mfano 20000 afu akaenda kukopa 10000 @, lazma ungeshidwa kulifrem.
alafu hatuko huko ulipo. Embu toa hayo matakataka yako ya "2jibu ce vilaza" na ujibu swali la charming"
km mpiga kura atakaejb anakula kura yng.
Anita Baby!
kumbe twahangaikia kura moja lol? me nilidhani zawadi. . . ngoja niende zangu kuleee!
rabeka muheshimiwa. Nimemis mashair yk.
Ooooooh Anita umenichanganya na Ruttashubanyuma right?
he! Mahuge... na nyie mmezd kufanana majina mapacha nin?
Anita Baby kasema atakayejibu ndio miss sasa nyie vidume Asprin, Judgement
na wengine kwanini mnaingia bafu la kike??????? Kwani ninyi nanyi mwagombea Miss Chit Chat???
NAJUA WE MSOMI. HEBU NISAIDIE HILI SWALI.
umekwenda town umekuta nguo inauzwa 10,000/=. we huna ela, unaenda kukopa 5000 kwa dada na 5000 kwa kaka, unapata 10000 unaenda kupatana unauziwa kwa 9700 unarudishiwa 300, unaamua kupunguza den sh.mia kwa dada na sh.mia kwa kaka, unabaki na mia, dada anakudai 4900 na kaka anakudai 4900 ukijumlisha unadaiwa 9800 ukijumlisha na mia yako inakuwa 9900. sh.mia imeenda wp ili itimie elfu kumi? nasubir jibu