tutamlazimisha agombee 2015 kama tulivyo mlazimisha agombee 2010,Hivi Slaa mwenyewe amesema atagomea uraisi?
subiri uone udini wa chadema watakavyomrukia ZITTO. wanajua zitto ni kichwa kupita hata huyo slaa lakini slaa wanampenda kwa kuwa ni PADRI.
ujana wake nayo ni sifa? Kwani ukiwa mzee huwezi kuwa rais?
Sababu za kuto mchagua zitto kabwe
1. Hana sifa ya kugombea urais coz hajatimiza umri unaotakiwa na sheria
2. Hana sifa ya kugombea coz ana uchu wa madaraka
3. Hana sifa ya kugombea urais coz hana busara na hekima
4. Hana sifa ya kugombea coz anatumiwa na ccm