kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,752
- 595
ndo hao wawili waliosema hapana, JK hakuweza kushinda kwa 100%
na waliowasaidia kusambaza si wajumbe?
ndo hao wawili waliosema hapana, JK hakuweza kushinda kwa 100%
JK anacheza kwa kufanikiwa kuongezewa muda ili aweze kumalizia ngwe yake, wakati mwingine namuonea huruma kwani Changamoto alizonazo ni nyingi mno.
Hapo sasa, ina maana
kura ya Bashe na Lowasa tu ndiyo zimesema hapana???? Yaani nimeamini CCM
ni full unafiki.
thubutuuu CDM ipewe airtime ya namna hii, na wanafanya hivi ili kujaribu kuteka hisia za wananchi lakini bado ni ngumu tu.Najiuliza kama ungekuwa uchaguzi wa CDM sijui kama wangepewa airtime hii baada ya uchaguzi kwisha????
Najiuliza kama CCM baada ya mkutano huu kama itakua imezaliqa upya na kuua makundi????
JK anashangilia kumshinda Lowasa, naye Lowasa anajipanga kummaliza katika ngwe iliyobaki.
Kumbe uamsho ni wa CCM ! Mbona kwenye mkutano mkuu wanaimba uamsho bye bye......ni ujumbe kwa kundi lipi?
Kumbe uamsho ni wa CCM ! Mbona kwenye mkutano mkuu wanaimba uamsho bye bye......ni ujumbe kwa kundi lipi?
Wapinzani wanawaumiza sana kichwa wanaccm, nape kila baada ya sentensi mbili anasema eti hichi ni kilio kwa wapinzani wanaokodolea shuhuli yao kupitia tv.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sio raisi ajaye, sema mgombea raisi ajaye.january makamba the next Tanzania president