Kama hana homa yeyote ile inayopelekea kuwa hivyo, basi usiumize kichwa ni hatua za kawaida za ukuaji wa mtoto.
Nb:
Kama sikosei ni mtoto wako wa Kwanza au sio!!.
nimekuelewa sana mkuu ila kwa maisha yetu ya kibongo Ni ngumu sana hiyo mashine uilete home halafu wapangaji wenzako wachukulie poah, vitu kama hivi ukiwa upo kwako au umepanga nyumba mzima ndio inapendeza sana.
Hiyo njia wakala anaejielewa hawezi kukubali kwasababu malipo ya wakala ya mwezi yanategemea na miamala aliyoifanya. Inamaana kila wakala anapofanya muamala yale makato anayokatwa mteja basi wakala anapata % yake. Hivyo kama wakala asipofanya miamala ndani ya mwezi mzima ni sawa na kujikomoa...
Wewe kama nani hadi uwasemee watanzania wote?. Hata kipindi cha ukoloni kuna wapuuzi kama wewe ambao walikua wakiitikia kila kitu ambacho mkoloni alikua anakileta bila kutofautisha faida na hasara ya jambo husika. Eti watanzania hawana tatizo na makato kwani wewe ndie muwakilishi wao?. Kama...
Kipindi cha uchaguzi ccm wana kauli yako "Wapinzani Wataisoma namba mwaka huu" hivyo baada ya kodi hii mpya, ndio maana nikasema makato haya yanawahusu wapinzani sio ccm nikiwa nawakumbusha wana ccm juu ya kauli yao.
Serikali sijui wapoje yani wanatengeneza pesa wanaziweka kwenye mzunguko halafu badae wanageuka wanatukamua wananchi kuzitaka pesa zile zile walizozitoa wenyewe. Sasa mimi nasema hivi kama serikali inaona sisi wananchi tunafaidi kuwa na hizo pesa basi safari nyingine wakitengeneza hizo pesa zao...
Bunge likikataa kupitisha bajeti ya serikali, RAIS Anayo haki ya kulivunja bunge. Ndio maana watu wanadai katiba mpya ili kuondoa au kupunguza hizi sheria zinazompa mamlaka makubwa Rais. .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.