Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,838
- 71,536
- Thread starter
- #21
Kweli mkuu Lema ametutetea sana pale mjengoni pamoja na kupigwa nyundo kila mara ila hakukata tamaa.Lema tutamkumbuka tu.
Kweli mkuu Lema ametutetea sana pale mjengoni pamoja na kupigwa nyundo kila mara ila hakukata tamaa.Lema tutamkumbuka tu.
Basi kazi hiyo wafanyie unaowaazimisha akili.Usinipe kazi ya kumwelewesha mwenye mvio wa akili tafathali
Kiukwel kbs upinzani hasa chadema walikua ni muhimu sana bungeni kwa changamoto zao kimaendeleo na kimaslahi ya Taifa.Ifikie mahali Watanzania wote tukubaliane kuwa hata kama chama tawala hampendi upinzani lakini kuna umuhimu wa wabunge wao kuwepo bungeni..
Kama wapigakura hawataki wapinzani, chama tawala kifanyeje?Ifikie mahali Watanzania wote tukubaliane kuwa hata kama chama tawala hampendi upinzani lakini kuna umuhimu wa wabunge wao kuwepo bungeni....
Soma na elewa point ya msingi. Sijasema wapinzani tu ndio wanaumizwa bali ni wananchi wote.Kodi hii Haikatwi kwa watanzania wote makato haya ni wapinzani tu.
Au Nadanganya CCM wenzangu?.
Wapiga kura gani hao? Mbona kila siku tunachagua upinzani lakini ccm wanatumia mabavu kujitangaza washindi?Kama wapigakura hawataki wapinzani, chama tawala kifanyeje?
Hizo ni ngonjera tuWapiga kura gani hao? Mbona kila siku tunachagua upinzani lakini ccm wanatumia mabavu kujitangaza washindi?
Wewe ndie inabidi usome na kuelewa nini nilichomaanisha kama hujaelewa uliza uelekezwe.Soma na elewa point ya msingi. Sijasema wapinzani tu ndio wanaumizwa bali ni wananchi wote.
Yote yaliyotokea ni kwa ajili ya watanzania kujifunza.Kweli kabisa, ifike mahali Bunge liwe 51:49 in favour of upinzani. Huu upumbavu wa hawa wanyonyaji utaisha kwa namna hii...
Hebu elekeza basi boss.Wewe ndie inabidi usome na kuelewa nini nilichomaanisha kama hujaelewa uliza uelekezwe.
Kila kitu na wakati wake. Sasa ulitaka waongelee hizi tozo wakati hazikuwa zimeshapitishwa? Hoja yangu ni kuwa wangekuwepo bungeni wangaikataa hii miswada/mapendekezo batili na kandamizi.Wapinzani yenyewe wamepoteza dira
Kuna ishu nyingi sana za kupigia kelele na wananchi wakawaelewa ila wenyewe wanaona ishu ni katiba tu
Kipindi cha uchaguzi ccm wana kauli yako "Wapinzani Wataisoma namba mwaka huu" hivyo baada ya kodi hii mpya, ndio maana nikasema makato haya yanawahusu wapinzani sio ccm nikiwa nawakumbusha wana ccm juu ya kauli yao.Hebu elekeza basi boss.
Lema tutamkumbuka tu.
Pamoja na kuwa yanapitishwa wakiwepo lakini wao ndio watch dogs wetu sisi makapuku. Wao ndio wanapiga kelele na bills zenye kukandamiza kama hizi eithee zingerekebishwa kabla zipitishwa au zingefutiliwa mbali.Ni mambo mangapi ya ovyo yamepitishwa bungeni huku hao wabunge wa upinzani wakiwemo?
Kelele za wapinzani pekee bila kuwa na akidi hazina tofauti na zile za vyura,hazizuii chochote.
FYI: Hakuna Bill yoyote imewahi kukwama bungeni kisa uwepo wa opposition nchi hii toka bunge la kwanza la vyama vingi.
Kwani hakuna technology zakuwezesha watu kufanya vikao bila kukutana?Wangekuwepo bc wangetoka nje mana kuna Corona
Ipo lkn mbona haitumiki, mbowe alisema ana mkutano na waandishi wa habari mbona hajatumia hy teknolojia kuongea nao.?Kwani hakuna technology zakuwezesha watu kufanya vikao bila kukutana?