Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 11,203
- 23,292
Ni wakati wa mabenki kusogeza huduma zaidi kwa wananchi na kujitangaza zaidi na zaidi. Hii mitandao sasa hali si hali .
Na walivo wajanja zigo la nnya wanaitupia serikali hawataki lawama za kijinga 😂😂, kwenye sms yao wanaiita kabisaaa ni kodi ya SERIKALI wao hawahusiki na hilo ni serikali yenu iyo 😂😂
Na walivo wajanja zigo la nnya wanaitupia serikali hawataki lawama za kijinga 😂😂, kwenye sms yao wanaiita kabisaaa ni kodi ya SERIKALI wao hawahusiki na hilo ni serikali yenu iyo 😂😂