Search results

  1. Waridi

    Dk. Kahangwa: Uchumi wa Tanzania ushikiliwe na watanzania

    Akizungumza katika mahojiano na kituo cha Television cha MlimaniTV alisema hivi;
  2. Waridi

    Kwenu wabunge wa sasa: Hamna hatimiliki ya majimbo

    Waheshimiwa wabunge wa Bunge la JMT na hata wawakilishi wa katika baraza huko Zanzibar. Salamu. Napenda kwanza kuwakumbusha kwamba sisi wapigakura wenu tulipowachagua hatukuwapa ufalme bali tuliwadhamini tu. Cheo ni dhamana ati. Tuliwapa muda wa miaka mitano kututumikia. Kama mlifanya vema...
  3. Waridi

    Kuelekea kumpata mgombea urais kwa tiketi ya UKAWA, usomi kuwa kigezo?

    Wakuu, Habari za uhakika ni kuwa leo katika mkutano wa waandishi wa habari, NCCR kimekuwa chama cha tatu kumtaja mgombea wake mtarajiwa. Yaelekea ukawa utapambanisha wasomi. CUF wanakuja na Profesa NCCR wanakuja na Dokta NLD nao wamemtaja Dokta CHADEMA bado kimya, lakini yaelekea watamtaja...
  4. Waridi

    Rais wa Tanzania na Kiingereza, wa Ujerumani na Kijerumani!

    Wakuu, Katika dhifa ya kitaifa aliyondaliwa Rais wa Ujerumani, Jk kwanini hakuhutubia kwa Kiswahili chetu, ilihali mgeni wake kahutubia kikwao? Wapi kuthamini vya kwetu jama!
  5. Waridi

    Mashtaka Dhidi ya Kenya

    Wakuu, kwa muda mrefu yamekuwepo malalamiko kuwa wakenya/makampuni na/au taasisi za Kenya wamekuwa wakiilaghai dunia kwamba Mlima Kilimanjaro na mbuga ya Serengeti viko nchini kwao. kwa ulaghai huo si tu kwamba wametenda kosa la jinai kwa kusema uongo, bali wanajipatia mapato haramu yanayotokana...
  6. Waridi

    Kura zetu JF: Muungano uendelee, usiendelee?

    Wakuu, Napendekeza tutoe sauti ya umma hapa JF kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Tupige kura kwa kuandika hapa. Kwa wanaoutaka, andika: UENDELEE Kwa wasioutaka, andika: USIENDELEE Si mbaya ukitupia maelezo ya chaguo lako. Nawasilisha.
  7. Waridi

    Uchaguzi mkuu NCCR-Mageuzi: Wagombea waanza kuchukua form

    Wakuu, Chama cha NCCR-Mageuzi kimeanza mchakato wa kufanya uchaguzi mkuu wa ndani ya chama, wa kila baada ya miaka mitano. Uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Mara ya mwisho uchaguzi kama huo ulifanyika Januari 2009. Tayari wanachama mbalimbali wameanza kujitokeza...
  8. Waridi

    Bunge letu Tukufu: Tangia Mwaka 1920 hadi Leo

    Wakuu, Katika kutafakari kile kinachoendelea sasa katika Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa sasa, na kujaribu kuelewa tumefikafikaje katika enzi ya kuwa na Bunge linaloyumba, lenye 'mipasho' na matumizi ya lugha isiyozingatia staha wala tafsida, pengine ni vyema tukakumbushana...
  9. Waridi

    Mjadala wa Elimu Live Nkhrumah leo

    Naam wakuu, Mjadala kuhusu elimu na mustakabali wa Taifa unaendelea sasa hivi katika ukumbi wa Nkrumah. Vile vile uko live ITV na radio one. Tufuatulie
  10. Waridi

    Inawezekana , Chukua Tahadhari

    Movie ya Kwanza ya Kinaijeria niliyoiona miaka ya 90, ilikuwa ya wake wenza. Mke mdogo aliolewa kwa kumroga mume. Kisha akaiba fedha za mume na kuzitumbukiza katika begi la mke mkubwa, maskini mke mkubwa alifukuzwa na mume baada ya fedha kugundulika ziko kwenye begi lake. Vile vile katika...
  11. Waridi

    Happy Birthday NCCR

    Ahsanteni sana marafiki kwa kukitakia chama siku ya kuzaliwa yenye furaha. Tarehe kama ya leo, mwaka 1992 ndipo NCCR-Mageuzi kilipopata usajili wa kuwa chama cha siasa. Wazo (mimba) la kuundwa kwake lilikuja miezi saba kabla ya hapo, yaani mkutano wa wanamageuzi nchini uliofanyika 12 Juni 1991...
  12. Waridi

    Mitaala yang'oa Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu

    Wakuu, Habari zilizotoka hivi punde ni kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Elimu Dr. Paul Mushi amepigwa chini kufuatia kashfa ya mitaala. Sasa nafasi ya Mkurungenzi inakaimiwa na Dr. Akwilapo. Inaonekana Dr. Kwambwa baada ya kibano Dodoma, aliamua kama wasemavyo HakiElimu kutafakari na...
  13. Waridi

    Ooh Mtwara, Jiwe Walilolikataa Waashi ...!

    OOH MTWARA, JIWE WALILOLIKATAA WAASHI…! Mwishoni mwa mwaka 2012, baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mtwara walifanya maandamano ya amani na yaliyofuata utaratibu wa sheria zilizopo, kwa lengo la kufikisha ujumbe waliokuwanao kwa viongozi. Maandamano hayo yaliitimishwa kwa mkutano wa hadhara...
  14. Waridi

    Itikadi ya NCCR-Mageuzi: Katika Muhtasari

    Chanzo: http://www.facebook.com/pages/National-Convention-for-Construction-and-Reform-Mageuzi-NCCR-Mageuzi/301165413301817?ref=hl ITIKADI YETU
  15. Waridi

    Deogratius Kisandu Apewa Kazi ya Kufanya NCCR-Mageuzi

    (Deogratius Kisandu wakati ikipokea Kadi ya NCCR-Mageuzi. Kulia kwake ni Kaimu Katibu Mkuu Ndugu Faustin Sungura) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: SHUKRANI KWA KUTEULIWA Kwanza natoa shukurani zangu za dhati, kwa Katibu Mkuu wa Kitengo cha Vijana wa NCCR-Mageuzi Ndugu Ojung Seitabau...
  16. Waridi

    VIDEO: BAVICHA ilivyotoa 'kadi nyekundu'

    www.youtube.com/watch?v=PmdmdZiVdCg
  17. Waridi

    Aliyekuwa kiongozi wa BAVICHA atua NCCR-Mageuzi

    Friday, 4 January 2013KATIBU BAVICHA AJIUNGA NA NCCR-MAGEUZI Ndugu Deogratius Kisandu aliyeshika Kadi, Kulia kwake ni Ndg. Florian Rutayuga ( Afisa Utawala wa Chama) na Katikati ni Ndugu Faustin Sungura (Kaimu Katibu Mkuu) TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI UAMUZI WANGU WA KUJIUNGA NA...
  18. Waridi

    Wageni na Ardhi ya Tanzania

    Sababu za ardhi kuwa ghali sana nchini, hususan jijini Dar ziko nyingi. Mojawapo ni hii ya wageni kumiliki ardhi kinyemela. Je, tunao wajibu wa kulisaidia jeshi la Polisi ili wageni wote waliochukua ardhi yetu waondolewe? Operesheni ya wavamizi ardhi Dar yabaini raia 10 wa kigeni Na Raphael...
  19. Waridi

    Ziara ya Mama Clinton Nchini Malawi: Picha zinasemaje?

    Nyasa Times August 6, 2012 U.S. Secretary of State Hillary Rodham Clinton on Sunday visited Malawi to meet with the country's first woman President Mrs Joyce Banda. Clinton – the first U.S. secretary of state to visit Malawi -pledged continued U.S. support for development and health...
  20. Waridi

    Video: Kutoka bungeni, suala la waliokula rushwa

    Bunge limeridhia uundwaji wa kamati ya uchunguzi juu ya tuhuma za baadhi ya wabunge - YouTube
Back
Top Bottom