salaam wana jamii
tafadhali naomba msaada wenu wanajamii kama kuna mdau anawezakuwa na software ya Myob accounting package kuanzia version 13 paka 20.nimetafuta kwenye internet lakini sipati na crack au serials
nashukuru sana kwa msaada
asante
Salaam wana Jamii.
naomba msaada wenu,natafuta syllabus ya chemistry na Physics form two.nimempeleka mtoto wangu Canada natakiwa kupeleka syllabus za haya masomo next week ili waweze kujuwa darasa gani linamfaa kwa system ya huko.kwa sasa nipo pia canada.
tafadhali naomba msaada wenu jamani...
salaam,nimepata shida na laptop yangu ya Hp pavilion dv6,nikiwasha kuna taa mbili ya Num lock na Caps lock ndio zinawaka lakini screen haiwaki inakuwa nyeusi tu.hizi caps lock na Num lock zina blink continously bila laptop kuwaka au ku display.
msahada tafadhali
Salaam wana jamii,naomba kama kuna mtu anajuwa link ya ku download past papers za NBAA tanzania au sehemu yeyote ya kupata hizi past papers module E
asanteni
salaam,
naomba kujuwa kwa aliye na documents ambayo inaonesha mshahara wa mtu kutokana na elimu aliyo kuwa nayo hapa Tanzania.nataka kumwajiri mtu sasa nilikuwa nataka kujuwa nimwanziye wapi kutokana na elimu aliyo kuwa nayo.
asanteni sana kwa msahada
samahani wakuu,nime post sehemu ambayo siyo kutokana section ya sport papo tupu
naomba msaada wa haraka wa logo ya mgambo jkt footbal club
asante na samahani
Hi,
we deal in production and processing of timbers in a variety of size here Iringa-Tanzania.currently we are looking potential buyers,our price is distinguishable from other sellers.currently we have a bulk stock of timbers.
please inbox me for more information.
salaam wana jamii,
mimi ni mpasuaji mbao hapa iringa,natafuta wateja wa kununuwa mbao size zote.
bei zangu ni nzuri.
tafadhali tuwasiliane hapa 0653 346 289
asante sana
salaam wana jamii
naomba kujuwa kuhusu pesa ya kujiki,u wakati unapo ajiliwa,mimi nimeajiriwa hivi karibuni nataka kujuwa sheria inazungumziaje kuhusu haya malipo.nitalipwa pesa yote ya mwezi kama pesa ya kujikimu wakati naanza kazi au siku 14 au 7?
naomba msaada na kufungu cha sheria
asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.