Mashambulizi na mapigo juu ya Yerusalemu na Uyahudi AD 67-73 yalikuwa tu ni mapatilizo (soma hapa chini Luka 21:21-22, angalia maneno kama "hasira juu ya taifa hili") ya kutimiza maneno ya Kristo baada wayahudi na waisraeli wengine kumkataa masihi mfalme wa amani. Warumi walitumiwa tu na Bwana...
Mkuu Uzalendo
Nakupa kudo sana. Endelea kutuletea mafundisho na tafakari juu ya hii dini ya uongo ya Ellen G. White.
Naona na wewe inakuudhi kama inavyoniudhi hasa kutokana na kuonekana kwa nje kama dini ya kweli huku ikiwa imebeba upinga Kristo wa kina cha juu kabisa.
Niweke wazi nawapenda...
Daah hongera sana. Bwana akutie nguvu. Ni malengo mema. Unaweza usiyafanikishe yote lakini ni mwanzo na mweleko mwema. Tutafutane inbox maana tuko njia moja katika malengo hayo.
Wakolosai 2:18 Mtu asiwanyang'anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili;
Mathayo 24: 4-5 Yesu akajibu, akawaambia, Angalieni, mtu asiwadanganye.
5 Kwa sababu wengi watakuja kwa jina...
Ungalijua alacho nyuki usingalionja asali.
Hakuna taifa la hovyo kama Japan tofauti na linavyopambwa pambwa kwa huruma za kupigwa nyuklia sawa sasa na Wairael wanavyoabudiwa kwa huruma ya kuuawa na Hitler.
Yote hayo ni mipango ya "movers and shakers" wa dunia hii.
Tafakari tu ndogo, jiulize...
Kuna haja ya kutengeneza Mswada was Sheria ya Mageuzi ya Utendaji wa Jeshi la Polisi Tanzania.
CCM chini ya mzee Comrade Kinana
Liangalie hili. Litawapa kukubalika na wananchi 2025
Lakini pia CDM ya Mbowe na Mnyika hii ni fursa ya kuamsha upya ushawishi.
Vinginevyo tamko la Makamu Myenyekiti...
Miezi michache baada ya rai ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Comredi Adulrahaman Kinana kwa jeshi la polisi kupunguza bugudha kwa magari na hasa maeneo ya mijini, hali imebadilika na taratibu inaanza kujirudia kama ilivyokuwa awali.
Ule unafuu uliokuwa umeanza kupatikana sasa unapotea kwa haraka...
Na laana hizi zote zitakujilia juu yako, zitakuandama na kukupata, hata uangamizwe, kwa kuwa hukuisikiza sauti ya BWANA, Mungu wako, kushika maagizo yake na amri zake alizokuagiza; kwa kuwa hukumtumikia BWANA, Mungu wako, kwa furaha na moyo wa kushukuru, kwa ajili ya ule wingi wa vitu vyote; kwa...
Ee Mungu, laiti ungewafisha waovu! Enyi watu wa damu, ondokeni kwangu; Je! BWANA nisiwachukie wanaokuchukia? Nisikirihike nao wakuasio? Nawachukia kwa ukomo wa chuki, Wamekuwa adui kwangu.
Zab 139:19, 21-22 SUV
Hilo ni neno la Mungu
Ndugu naona biblia huna habari nayo kabisa.
Huyo ni Bwana Yesu Kristo akiwaambia wayahudi. Je hayo anayoyesema sio matendo ya giza kama anayoyaeleza Mathazua? Jaribu kuwa unasoma biblia utajipatia maarifa na ukiamini, basi utapata uzima wa milele.
YOHANA 8:44
Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.