V Verily Verily Senior Member Jan 4, 2007 188 143 Sep 2, 2022 Thread starter #41 Hivi ni kweli suluhu ya uonevu wa matrafiki imekosekana kabisa? Maana na kilio cha kiongozi mkubwa kama Makamu wa CCM hakisikilizwi sasa.
Hivi ni kweli suluhu ya uonevu wa matrafiki imekosekana kabisa? Maana na kilio cha kiongozi mkubwa kama Makamu wa CCM hakisikilizwi sasa.
V Verily Verily Senior Member Jan 4, 2007 188 143 Sep 5, 2022 Thread starter #42 Matrafiki wameachiliwa tena. Hali ya barabarini leo Jumatatu 5/9/2022 ni mbaya sana. Wamejaa kila barabara.
Matrafiki wameachiliwa tena. Hali ya barabarini leo Jumatatu 5/9/2022 ni mbaya sana. Wamejaa kila barabara.