Matrafiki wameanza tena kamata kamata

Hivi ni kweli suluhu ya uonevu wa matrafiki imekosekana kabisa? Maana na kilio cha kiongozi mkubwa kama Makamu wa CCM hakisikilizwi sasa.
 
Matrafiki wameachiliwa tena. Hali ya barabarini leo Jumatatu 5/9/2022 ni mbaya sana. Wamejaa kila barabara.
 
Back
Top Bottom