Kwanza kabla ya kumuuliza Kama ameridhika au la Jiulize iwapo amewahi kuridhishwa au kama anaelewa kuridhishwa kuna ladha gani.Maana anaweza kuwa ana mambo mengi kichwani halafu unatarajia kwamba utamridhisha.
Ila kwa ushauri wa kitaalamu kabisa.Nunua Chupa ya Wine Mnywe wote kabla ya tendo...
Ni bora umwambie tu awe anajitolea kama HOBI.Ila kusema kwamba Utamlipa BUKU kwa MCHORO.Imagine Hapa JF Mello Angesema Analipa 1000 kwa kila POST kama watu wangepoteza muda kuandika POST.Ila kwa sababu ya LIKEs na Comments watu wanaweka Contents za maana kabisa.Kiufupi ukimpa mtu malipo kidgo...
Nimesoma huu uzi nikasikitika.Kuagiza Mzigo china siku hizi unaweza kufanya online.Ila inategemea na Thamani ya Mzigo na aina ya Bidhaa.Kama Ndio Unaanza kuna majukwaa kama Aliexpress,Alibaba,Made in China.com na Mengine mengi.Unachotakiwa kufanya kwanza ni kuamua aina ya bidhaa kisha tembelea...
Habari za wakti huu?
Hizi ni baadhi ya biashara ambazo unaweza kuanzisha na kuzifanya kwa njia Mtandao.
Duka la Mtandaoni (E-commerce): Hii inahusisha kuuza bidhaa mtandaoni. Unaweza kuunda bidhaa zako au kuzipata kutoka kwa wauzaji na kuziuza kupitia majukwaa yako.
Dropshipping: Hii ni aina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.