Sio hakuna tangu mwanzo niliona haiwezekani nichore katuni kwa buku alafu Una makando Kando mengi wasukuma wanasema Una migiroNdo kusema wachoraji hakuna??
Sio hakuna tangu mwanzo niliona haiwezekani nichore katuni kwa buku alafu Una makando Kando mengi wasukuma wanasema Una migiroNdo kusema wachoraji hakuna??
Picha yako ni more expensive kuliko watu watakazo chora.Bado nasubiri wachorajii
Buku jamaa atumie katuni yake tu, Mimi naona iko poa 😂😂😂😂Sio hakuna tangu mwanzo niliona haiwezekani nichore katuni kwa buku alafu Una makando Kando mengi wasukuma wanasema Una migiro
Mambo mengi ishi na huyu.Vipi bado hujafika home???
Mgao ya Imani katika ulimwengu WA techMambo mengi ishi na huyu.View attachment 2970812
We ni Noma,huyu jina lake tumwite Mzee lomolomoHiyo buku baki nayo tu
View attachment 2970852
Hata sio expensive, hiyo unayoiona nimechora mwenyewe roughly kwenye PAINT App ya Microsoft, haikuchukua hata dk 10Picha yako ni more expensive kuliko watu watakazo chora.
Alafu kwa ujira wa buku kwenye kazi ya kufikiria na kutumia sana akili hutapata mtu
Mkuu mbona bei ni reasonable sana kwa mtu mtu ambaye yupo vizuri kwenye kuchora, kama mtu anaweza kuchora for fun why not accumulating those 1ks???Kuna kitu fulani na kiona unataka kukifanya.Tatizo ni Bei uliyoweka.All in Alnakutakia kila la HERI
Ni bora umwambie tu awe anajitolea kama HOBI.Ila kusema kwamba Utamlipa BUKU kwa MCHORO.Imagine Hapa JF Mello Angesema Analipa 1000 kwa kila POST kama watu wangepoteza muda kuandika POST.Ila kwa sababu ya LIKEs na Comments watu wanaweka Contents za maana kabisa.Kiufupi ukimpa mtu malipo kidgo ambayo hayaoneshi kwamba unathamini kazi au kipaji chake unakuwa umemvunja moyo.Mkuu mbona bei ni reasonable sana kwa mtu mtu ambaye yupo vizuri kwenye kuchora, kama mtu anaweza kuchora for fun why not accumulating those 1ks???
Hii ni kazi nzuri.