MtuHabari
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 321
- 1,019
Bank ya makabwela ambayo wastaafu hasa wale wa zamani serikalini walilazimika pension zao kulipiwa katika bank hiyo inawaumiza sana watumishi hao wastaafu kwa kuwanyonya kupitia mikopo yao ambayo wameitengeneza kwa mfumo wa ile Kausha damu ya mitaani.
Bila huruma kwa wazee hao ambao wanapokea pension ndogo sana kutokana na pension set up ya miaka hiyo wanajikuta wakiomba mikopo katika mpango ulio andaliwa na NMB Bank kwa hao wastaafu. Lakini hiyo mikopo sio yenye nia ya kuwasaiddia wazee hao bali kuwanyonya visenti vyao tuu.
Inakuwaje mzee akope milioni mbili uweke vipengele vingi vingi hadi anajikuta anarudisha deni kwa kulipa mikioni zaidi ya tano?
NMB hebu kuweni na huruma na hawa wazee ambao wengi hako ka pension ni kadogo mno na ndio mategemeo yao.
Bila huruma kwa wazee hao ambao wanapokea pension ndogo sana kutokana na pension set up ya miaka hiyo wanajikuta wakiomba mikopo katika mpango ulio andaliwa na NMB Bank kwa hao wastaafu. Lakini hiyo mikopo sio yenye nia ya kuwasaiddia wazee hao bali kuwanyonya visenti vyao tuu.
Inakuwaje mzee akope milioni mbili uweke vipengele vingi vingi hadi anajikuta anarudisha deni kwa kulipa mikioni zaidi ya tano?
NMB hebu kuweni na huruma na hawa wazee ambao wengi hako ka pension ni kadogo mno na ndio mategemeo yao.