Takwimu za JamiiForums

Bro usidanganyika na viewers huwa ina multiple countings. Yaani mimi nikiview Uzi wako sahivi halafu nikiview Tena badae then nikaview mtondogoo it's triplize. Kiuhalisia JF hatufiki hata members laki Tano hata mitaani ukiongelea jf 98% hawajui. You are luck to be here bro.
Mitaani watu wanaujua sana sema hakuna mtu atakubali kukwambia kama anaujua.
 
Bro usidanganyika na viewers huwa ina multiple countings. Yaani mimi nikiview Uzi wako sahivi halafu nikiview Tena badae then nikaview mtondogoo it's triplize. Kiuhalisia JF hatufiki hata members laki Tano hata mitaani ukiongelea jf 98% hawajui. You are luck to be here bro.
Active njoo udhibitishe hili, tunahitaji kujua
 
Mtandao wa jf kweny idadi ya watu tena ni wachache zaidi ya hapo , wengi wana IDs nyingi humu.Sera ya mtandao huu sio nzuri haswa nyuzi za kejeli na chuki , wengine wanaona wajitoea.

Kuna nyuzi unakuta chuki tu mwanzo mwisho, nilimuuliza jamaa yangu akasema jf alikuwepo mwanzoni ila kuna nyuzi za chuki sana mpaka kuna siku alijuta kufungua uzi fulani ulikuwa mambo ya dini...Uhuru wa Jf ndio unapelekea hii platfom kushuka thamani wengi ni wale wale wanadili Id tu.

Watu kusoma nyuzi bila ya kujisajili , hawana time ya kuwa na Id.
 
Mitaani watu wanaujua sana sema hakuna mtu atakubali kukwambia kama anaujua.
Kwani Kuna Siri Gani au shida Gani mpk waogope kuujua, kwaio ww ni mmoja wa ambao unahofu watu wakijua unatumia jf? Believe watu wengi hawaujui ndio mana hatufiki hata milioni.
 
Bro usidanganyika na viewers huwa ina multiple countings. Yaani mimi nikiview Uzi wako sahivi halafu nikiview Tena badae then nikaview mtondogoo it's triplize. Kiuhalisia JF hatufiki hata members laki Tano hata mitaani ukiongelea jf 98% hawajui. You are luck to be here bro.
Kama uzi wa Kupeana Likes una viewers M.40.

Hili uliloandika wewe ndo usahihi wenyewe bila shaka.
 
Habari wana Bodi.

Nimekuwa nikiwaza mara kadhaa kuu ya hizi takwimu za mtandao wangu pendwa mzee nisie na makuu.

Hivi ni sahihi kweli kwamba tuko watu laki sita na ushee tuu?

Post zilizotumwa huku ni sahihi?

Nikiwaza ndugu yangu GENTAMYCINE anaweza akawa anapost zaidi ya laki 4 peke yake jinsi alivyo member active huku.

Hebu tusaidieni kuangalia hili

Asante, nawasilisha.
Bado kuna watu wan id zaidi ya moja humu JF.Na Trust me kila mtu ambaye yuko active humu huwa ana ID angalau 2-3.Kuna Dormant n.k.
 
Huwezi kupigwa ban, hujakosea chochote umetoa maoni tu!
Nachotaka ni kupata uhakika wa hiyo taarifa
Mimi najua views wanahesabiwa kwa id moja haijarishi umefungua mara ngapi uzi wa mtu.
Kuna hii imeangaliwa mara bilion 14 wakati dunia nzima hata bilion kumi hatufiki
20240503_084148.jpg
 
Miaka 7 iliyopita watu wangapi wameshafariki walioangalia hiyo video?
Ingekua imetoka jana na views ni 14B ningekubaliana na wewe
Ila ina 7years
Ndio hivyo, kiuhalisia walioangalia hawafiki milioni mia, ila waliangalia mara mbili mbili ndio imezaa bilions za view.
 
Habari wana Bodi.

Nimekuwa nikiwaza mara kadhaa kuu ya hizi takwimu za mtandao wangu pendwa mzee nisie na makuu.

Hivi ni sahihi kweli kwamba tuko watu laki sita na ushee tuu?

Post zilizotumwa huku ni sahihi?

Nikiwaza ndugu yangu GENTAMYCINE anaweza akawa anapost zaidi ya laki 4 peke yake jinsi alivyo member active huku.

Hebu tusaidieni kuangalia hili

Asante, nawasilisha.
Hata mimi nilishawaza kitu kama hicho.
 
Ndio hivyo, kiuhalisia walioangalia hawafiki milioni mia, ila waliangalia mara mbili mbili ndio imezaa bilions za view.
Kuna msanii mkubwa aliwahi kupost screenshot ya watazamaji wa nyimbo yake youtube
Ilionyesha mfano; watazamaji millioni 6 lakini kwenye account yake aliyotumiwa na youtube lakini mimi niliingia nikaona mfano; millioni 2

Nikadhani namba tunayoona nje ni ya kila account inayotazama wanahesabu 1 hata ukiangalia mara 100 ila yeye msanii ndio anaona idadi kamili
 
Habari wana Bodi.

Nimekuwa nikiwaza mara kadhaa kuu ya hizi takwimu za mtandao wangu pendwa mzee nisie na makuu.

Hivi ni sahihi kweli kwamba tuko watu laki sita na ushee tuu?

Post zilizotumwa huku ni sahihi?

Nikiwaza ndugu yangu GENTAMYCINE anaweza akawa anapost zaidi ya laki 4 peke yake jinsi alivyo member active huku.

Hebu tusaidieni kuangalia hili

Asante, nawasilisha.
Kuna jamaa aliniambia nikifikisha miaka 10 nitalipwa na jf japo kiduchu..
.lakini wapi sijapata hata mia mwaka wa 15 huu nipo jf.
 
Back
Top Bottom