Kuna tofauti kubwa sana tena sana kati ya "god" na "God" akisema yeye ni "god " mimi sina shida nae ila kama ni "God " ajiangalie atakuja kupigwa pigo a "kanye magharibi "
Rafiki yangu ata kugegedaje wakati habari yako anayo... Kua una toa harufu ...zaidi ata kuvalia mpira na atapiga mchezo wa dakika 5 tu akisha utupa ana jifanya ka pigiwa simu....
Na mimi nilisha tafuta side chick mwingine nime tulia naku angalia tu unavyo chezewa... Ladies bahave mtalia sana...
Mi mwenyewe na shangaa... Nilisha kua na mtu alikua poa ila ghafla nikawa sikia harufu kali sana tena sana...nguo zake za ndani zina toa harufu kali sana.. mimi nikawa najiuliza ina maana huyu mtu hasikii hii harufu au ni nn tatizo?
Mamaeee, jamaa yuko shambani kabisa na picha zina onekana eti mnasema sembe... Nyambafuuu mali iko shambani. Na hivi analima mpunga. Mbona ata fanya matusi mpaka mkimbiee
Kwani muziki ndio una jenga nyumba. .watu wana michongo yao wanafanya wana ongeza kipato wana jenga... Labda professor Jay ndio atakua kajenga nyumba kwa mziki.. manake miaka 10 ana jenga nyumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.