Utajiri wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’

Deo umenivunja mbavu zangu unavowaagua wanga wa maendeleo ya wenzao jamvini!
Stop killing albinos ha ha ha ha:D
 

si jambo baya kwa msanii kua na mali lakini waandishi mnajua wananchi wanahitaji ufahamu juu ya mambo ya maana hususani kipindi hiki ambacho nchi inaelekea katika uchaguzi pamoja na zoezi la upigani kura ya ndio au hapana kwa katiba mpya?

kabisa mtu unaandaa habari ya udaku tena ukiichunguza hata haijafanyiwa utafiti, waandishi hebu muwe na weledi kwa kusoma alama za nyakati na kutoa mchango kwa taifa maana kwakujua masanja anagari na nyumba hata hainisaidii kama ungeelezea hata mchakato wa katiba au tunu za uongozi.
 
Wewe umeisoma mpaka mwisho na bado umeileta hapa watu waisome zaidi. Mleta uzi hujitambui..
 
Mamaeee, jamaa yuko shambani kabisa na picha zina onekana eti mnasema sembe... Nyambafuuu mali iko shambani. Na hivi analima mpunga. Mbona ata fanya matusi mpaka mkimbiee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom