Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 14,976
navaa mara chache sana. nikiwa nyumban ndo sivai kabisa mpaka nitoke labda
Nyie ndo mnaowapaga mifadhaiko wageni..acheni kutega watu...nwei why huvai?? Inakughasi??
navaa mara chache sana. nikiwa nyumban ndo sivai kabisa mpaka nitoke labda
Nyie ndo mnaowapaga mifadhaiko wageni..acheni kutega watu...nwei why huvai?? Inakughasi??
navaa mara chache sana. nikiwa nyumban ndo sivai kabisa mpaka nitoke labda
wewe smartlady hapo sawa unaweza kuwa na pensi yako na khanga nymbn inatosha. safi sn smartlady, naomba ni pm kwa ushauri zaidi
aaah wapi... sipend tu kubanwabanwa.....
pensi ya nn tena...kanga tu inatosha
Nyie ndo mnaowapaga mifadhaiko wageni..acheni kutega watu...nwei why huvai?? Inakughasi??
nadhani kondomu zinabana zaidi ya hizo boxer ns chupi je hili unalizungumziaje mtoa mada.
nikivaa na suruali naona kama nimevaa suruali tupu, nina mwaka wa 15 cjawah, labda iwe ipo loose kama kaptula. ukivaa sana inayobana ni tatizo
Jamani Tafiti Zinaonyesha Kuwa Kuvaa Boxer Au Chupi Kwa Wanaume Kuna Madhara Sana. nguo izo kwa sbb zinabana na penis inapocmama inashindwa kucmama vzr ivyo kufanya mishipa yake ambayo ni laini sana kujikunja hali inayoweza kupelekea hata kushindwa kusababisha ujauzito. tunashauriwa kuvaa kama ni boxer yenye nafasi au kaptula.
chanzo: ufunuo wangu...