Siku ya Wanawake Duniani: Top Tanzanians women Celebrities

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,719
114,064
Wanabodi,

Tunaposherehekea siku ya wanawake duniani ambayo ndio leo, sio vibaya tukiwakumbuka na Tanzanians Top Women Celebrities ambao kwa namna moja au nyingine, wameling'arisha jina la Tanzania, ndani au nje ya mipaka yetu. Wengine hata kwa kufanya visa tuu na vituko, vilivyosaidia kuwapa shibe na kula yao ya kila siku, wale wanahabari wetu njaa, wa yale magazeti yetu pendwa, ambayo japo ni magazeti uchwala, lakini ndiyo yanayoongoza kwa circulation, na mwisho wa siku, au kutoa mafunzo kwa wasomaji, au burudani kwa wapenda udaku;



  1. Wema Sepetu - Nadhani ndio Top Tanzanian Female Celebrity of all times!
  2. Hoyce Temu
  3. Happyness (Millen) Magesse.
  4. Joyce Kiria
  5. Tausi Likokola
  6. Wengine endeleeni kuwataja.

Ma celeb hawa, wanastahili pongezi!

Pasco
 
Wanabodi,

Tunaposherehekea siku ya wanawake dunia ambayo ndio leo, sio vibaya tukiwakumbuka na Tanzanians Top Women Celebreties ambao kwa namna moja au nyingine, wameling'arisha jina la Tanzania, ndani au nje ya mipaka yetu. Wengine hata kwa kufanya visa tuu na vituko, vilivyosaidia kuwapa shibe na kula yao ya kila siku, wale wanahabari wetu njaa, wa yale magazeti yetu pendwa, ambayo japo ni magazeti uchwala, lakini ndiyo yanayoongoza kwa circulation, na mwisho wa siku, au kutoa mafunzo kwa wasomaji, au burudani kwa wapenda udaku.

  1. Wema Sepetu-Nadhani ndio top Tanzanian female celebrity of all times!.
  2. Hoyce Temu.
  3. Happyness (Millen) Magesse.
  4. Joyce Kiria
  5. Tausi Likokola
  6. Wengine endeleeni kuwataja.


Ma celeb hawa, wanastahili pongezi!.

Pasco

pasco huku celeb forum umefata nini? njoo siasani tumuunge el mkono, hawa aina wema hawana jipya
 
wa kwangu

Mange Kimambi-Tanzania-USA
Viola RIP -Kiraruraru Bongo DSM
Chagabibi-Tanzanina-USA
Linda -Tanzanian-USA
Frola lyimo - Tanzanian -UK
Flaviana -Tanzanian-USA

:A S-coffee:
 
Pasco hata wewe kweli unaweza chagua namba moja huyu duh

mnadhani wanachaguaga namba moja kwa ajili gani? huyu Wema sio mfano wa kufatwa na watoto wa kike hata wakiume.....nani anataka tabia alizonazo kutegemea watu, vijana ndio wamuamulie kumshauri kila dakika, huwezi muona amekuwa mwenyewe na kuamua kitu bila mgongo wa mtu, kutoka na waume za watu, kutukana watu ovyo videos zipo utube, tbia ya ovyo...

naona mnamfunika badala ya kumwambia, sema yeye labda anajulikana zaidi ila haimaanishi ni mfano au ni top kwa mfano mzuri only kujuliknana jina,,, na credit kwa Diamond pia bila kusahau late Kanumba na wanaume wote utiriri aliotoka nao kuonyeshea kila mtu...na waume za watu hadi kuchukia rafiki zake sababu na o wametoka na hao waume za watu. na pia ku suooort team na watu wanaotumia jina lake kutukana na ku bully watu kwenye social media hata siku moja hajawahi kukomea. angeenda shule kusoma akajiweka sawa kwa mengi ila kutumia u Miss ushindi hadi leo sio u top.

pia vizuri kwa heshima yako ungesema y yeye ni top yaani hakunaga mfano...usiseme kujulikana kwa jina.

mie nakusaidia kwa u Top huu pia unachangia

https://www.youtube.com/watch?v=LuJiDbje1Ow

na hii

https://www.youtube.com/watch?v=d88ztJb-Qp8

nimezitoa kwa thread ingine humu.
 
Last edited by a moderator:
Pasco hata wewe kweli unaweza chagua namba moja huyu duh

mnadhani wanachaguaga namba moja kwa ajili gani? huyu Wema sio mfano wa kufatwa na watoto wa kike hata wakiume.....nani anataka tabia alizonazo kutegemea watu, vijana ndio wamuamulie kumshauri kila dakika, huwezi muona amekuwa mwenyewe na kuamua kitu bila mgongo wa mtu, kutoka na waume za watu, kutukana watu ovyo videos zipo utube, tbia ya ovyo...

naona mnamfunika badala ya kumwambia, sema yeye labda anajulikana zaidi ila haimaanishi ni mfano au ni top kwa mfano mzuri only kujuliknana jina,,, na credit kwa Diamond pia bila kusahau late Kanumba na wanaume wote utiriri aliotoka nao kuonyeshea kila mtu...na waume za watu hadi kuchukia rafiki zake sababu na o wametoka na hao waume za watu. na pia ku suooort team na watu wanaotumia jina lake kutukana na ku bully watu kwenye social media hata siku moja hajawahi kukomea. angeenda shule kusoma akajiweka sawa kwa mengi ila kutumia u Miss ushindi hadi leo sio u top.

pia vizuri kwa heshima yako ungesema y yeye ni top yaani hakunaga mfano...usiseme kujulikana kwa jina.

mie nakusaidia kwa u Top huu pia unachangia

https://www.youtube.com/watch?v=LuJiDbje1Ow

na hii

https://www.youtube.com/watch?v=d88ztJb-Qp8

nimezitoa kwa thread ingine humu.

Mkuu nadhani hujaisoma vizuri post ya Pasco . Hebu irudie kwa mara ya pili

Lakini pia mi nadhani wewe una chuki binafsi tu kwa huyu mdada. . .Kila mwanadamu ana madhaifu yake hakuna mkamilifu. . .Hata wewe ungekuwa unafuatiliwa nyendo zako na media mengi tu yangeibuliwa. . .Hata hao kina diamond uliowataja we unaona mwenendo wao ni mfano wa kuigwa? Celebs wachache sana wasio na kashfa. . . Na media sio mara zote wanaandika vitu vya kweli na hilo linajulikana kwa kila mtu mfuatiliaji. . Na kuhusu hizo video ulizoziweka kama supporting evidence . .hiyo ya kwanza amerekodiwa bila kujijua. . Labda utuambie wewe hata ukikasirishwa vipi kwako huwa hutukani, huu ni ubinaadamu tu. . .Kosa ni la huyo aliyerekodi matusi na kupost online. . .Hiyo ya pili kawacharukia gpl. . .Wewe unadhani kila siku kuandikwa habari za uongo, yeye wema ana moyo wa namna gani asikasirike na kuwafuata wahusika?

Kwa nini unatarajia wenzako waishi kama malaika?

Kuhusu suala la hizi teams za vijana wa siku hizi mbona team ya ali kiba wanamtukana diamond, team ya diamond wanamtukana kiba, timu ya zari wanamtukana wema. . Lini umeskia hao wahusika wakikemea team zao!!?

Kuwa muadilifu mkuu, celebs ALMOST wote wana kashfa nyingi nyingi tu, na muda mwingi huwa si za kweli bali watu wanataka kuuza magazeti tu. .

Mimi sipo team yoyote, lakini napenda kuona uadilifu ukitendeka
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Tunaposherehekea siku ya wanawake dunia ambayo ndio leo, sio vibaya tukiwakumbuka na Tanzanians Top Women Celebrities ambao kwa namna moja au nyingine, wameling'arisha jina la Tanzania, ndani au nje ya mipaka yetu. Wengine hata kwa kufanya visa tuu na vituko, vilivyosaidia kuwapa shibe na kula yao ya kila siku, wale wanahabari wetu njaa, wa yale magazeti yetu pendwa, ambayo japo ni magazeti uchwala, lakini ndiyo yanayoongoza kwa circulation, na mwisho wa siku, au kutoa mafunzo kwa wasomaji, au burudani kwa wapenda udaku;



  1. Wema Sepetu - Nadhani ndio Top Tanzanian Female Celebrity of all times!
  2. Hoyce Temu
  3. Happyness (Millen) Magesse.
  4. Joyce Kiria
  5. Tausi Likokola
  6. Wengine endeleeni kuwataja.
Ma celeb hawa, wanastahili pongezi!

Pasco
Leo ni siku ya wanawake duniani, kwa upande wa ma celeb wa kike, nadhani Tanzania tumetimiza malengo ya 50/50 kati ya maceb wa kike na wa kiume.

Nawatakia maceb wetu wanawake na wanawake wengine wote, siku njema ya wanawake duniani.
P
 
Back
Top Bottom