Kwa ambaye amewahi kufanya interview kwa hii Kada ya LIVESTOCK FIELD OFFICER II naomba kujua maswali, nisome angle ipi hasa au kama kuna group la whatsapp naombeni link nijiunge..Asanteni
Sekretarieti ya Ajira kesho tunatimiza miezi minne(4 months) tangu mmetangaza nafasi za kazi za TPDC...mjitahidi kuchangamka kidogo. Au muwe mnatangaza when you are ready
Kuna duka la viatu huku Dar pale Posta Mpya..wanauza viatu kampuni ya Catapiler liko pembeni ya NMB BANK..nenda pale na iko kiatu utapewa dawa ya kuoshea na kung'arishia pamoja na brush ya kuoshea hiyo SUEDE SHOE
Mkuu samahank kama jibu langu limekukwaza..nimefanya sana hizi interview na practical pia nimefanya..sijawahi kukutana na chochote kutoka kwny zile job descriptions kwa upande wa ICT labda kada nyingine
Habari zenu wakuu, poleni na majukumu. Ninategemea hivi karibuni kuitwa kwenye interview na PSPRS kada ya ICT OFFICER(QUALITY ASSURANCE). kama kuna mtu amewahi kufanya interview ya kada hiyo naomba aniambie nisome mambo gani hasa ili nijiandae vizuri. Natanguliza shukrani zangu kwenu🙏🏽
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.