Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,198
- 45,952
Muovu hata umipe milioni 1 kwa mwezi atakuua tu, si unaona kachukua kadi hivo hizo ndio zimempa tamaaMwanadamu kwa kawaida cha kwanza ni ulinzi lakini wengi walio na pesa wanaamini pesa ndiyo kila kitu, nataka nitowe wazo langu, katikafamilia wakwanza kupewa heshima msaidizi nyumbani anapika, anachota maji anakutengea chakula nakasumu hapo kumbuka mshahara mdogo.