wadau huyu mama Makinda tuseme anatumia masaburi kufikiri? Mh. Zambi ametoa hoja kuwa bunge lijadiri mgomo wa madaktari, kwani hata madaktari bingwa wameanza mgomo na kwa hiyo hali ni mbaya yaidi. Lakini Makinda amekataa kwa mbwembwe sana. Wadau hii ni hakarl?
Mkuu, ukikamatwa na mali ya wizi wewe ni mwizi pia haijalishi kama umewekeshwa au la, EL angekuwa mzalendo asingeshiriki mchezo mchafu wa kulifilisi taifa. Hafai hata akipakwa jibini!!!!
Habari wanaJF,
Nimeona tushirikiane ujumbe wa tarehe ya leo wenye maana ya kusisimama kwa miguu yako miwili ili hii tarehe iwe chachu ya wote kusimama na kupinga udhalimu na unyonyaji ndani ya nchi yetu natoa wito hakikisha unafikisha ujumbe huu kwa watu watano wasiokuwa na acces ya...
Ndugu zangu wahi ITV saa 3.00 usiku huu kumsikiliza mh. Samwel Sitta katika kipindi cha dakika 45. Pamoja na mambo mengine atazungumzia ule anaouita msimamo wake juu ya malipo ya Dowans. Ninachojiuliza hivi hivi huu ni ukweli kutoka ndani ya moyo wake, naomba tuyachambue, nawasilisha.
Tumekubaliana wasio na hoja ya msingi hatuwajibu. Hili swala ni muhimu tuko tayari kuchangia. Mimi niko mbali Karagwe vijijini,ukweli elimu ya uraia ni muhimu sana. Fanyafanya tuchangie. Anzisha na tawi hapa JF. Asante nawasilisha.
Ndugu zangu, kulikoni mzee wa kasi mpya hakuonekana Igunga, ama hajapona madonda ya swaiba wake RA? Au aliambiwa akienda atakukumbushia siasa uchwara tafadhali mwenye kujua lolote kuhusu hili tuwaanikie watz waweze kujua huyu jamaa alivyo maana yake usanii tu. Nitashukuru kwa michango yenu.
Ah, inachosha tumenyonywa hadi mifupa. Hawa watu wapo tunao mitaani through JF tuhamasishane tuwapige kwa nguvu ya umma, tatizo waty tuko waoga maneneno meeeeengi. Do something.
Kwanza mie nahisi kichefuchefu na huyu farisayo wanayemuita spika wa bunge,mambo yake ya kuilinda sisiemu mbele ya maslahi ya taifa, tumuombee mjaa na majanga. Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.