Je, wajua kwa nini Kikwete hakuonekana kwenye kampeni Igunga?

Mar 30, 2010
19
2
Ndugu zangu, kulikoni mzee wa kasi mpya hakuonekana Igunga, ama hajapona madonda ya swaiba wake RA? Au aliambiwa akienda atakukumbushia siasa uchwara tafadhali mwenye kujua lolote kuhusu hili tuwaanikie watz waweze kujua huyu jamaa alivyo maana yake usanii tu. Nitashukuru kwa michango yenu.
 
Hivi wewe ulitaka CDM wasipate kura hata hizo walizopata? Big boss amewahurumia na ndio sababu ya kutuma watu wake. Au unafikiri CCM ni chama njaa kama CDM walio peleka Chama kizima huko Igunga. Na lazima ukumbuke huu ni uchaguzi mdogo sana kwa mtu wa muhimu kama Kikwete.
 
Ndugu zangu, kulikoni mzee wa kasi mpya hakuonekana Igunga, ama hajapona madonda ya swaiba wake RA? Au aliambiwa akienda atakukumbushia siasa uchwara tafadhali mwenye kujua lolote kuhusu hili tuwaanikie watz waweze kujua huyu jamaa alivyo maana yake usanii tu. Nitashukuru kwa michango yenu.

CCM ina jeshi kubwa sana , na hakuna haja yakupeleka silaha nzito km hizi zinaitwa silaha za maangamizi. Wapeleka jeshi dogo tu lakina magufuli, wasirra, mwingulu, mkama nk umeona kilio cdm walicho kipata . Na hata soma maoni yao humu JF utaona ni watu waliokata tamaa,wenye hasira na wenye fadhaaaa
 
  • Thanks
Reactions: Omr
CCM ina jeshi kubwa sana , na hakuna haja yakupeleka silaha nzito km hizi zinaitwa silaha za maangamizi. Wapeleka jeshi dogo tu lakina magufuli, wasirra, mwingulu, mkama nk umeona kilio cdm walicho kipata . Na hata soma maoni yao humu JF utaona ni watu waliokata tamaa,wenye hasira na wenye fadhaaaa
Ni kipogo cha mbwa mzee, mpaka wamepagawa.
 
Kuna hoja nyingi angeshindwa kuzitolea majibu. Na yaye kama 'rais' ingekuwa aibu kubwa sana. Si unajua yule ni mtu wa matukio mepesi!
 
CCM ina jeshi kubwa sana , na hakuna haja yakupeleka silaha nzito km hizi zinaitwa silaha za maangamizi. Wapeleka jeshi dogo tu lakina magufuli, wasirra, mwingulu, mkama nk umeona kilio cdm walicho kipata . Na hata soma maoni yao humu JF utaona ni watu waliokata tamaa,wenye hasira na wenye fadhaaaa

yaani huwa nikisoma post zako huwa ninajiuliza uwezo wa masaburi yako kwani una iq ya chini sana......

una uwerzo mdogo sana wa analysis yaasni haionyeshi kama ulibahatika kuingia sekondari japo ya kata.....

haya take home assignment:

1. calculate by percentage ushindi wa CCM igunga 2010...................................1

2. calculate by percentage ushindi wenye mashaka wa CCM + serekali igunga 2011...................11

2. calculate by percentage kura za chadema igunga 2010...............................111

3. calculate by percentage kura za chadema igunga 2011................................iv

kujua anguko la CCM in percentage = 1 - 11*100/11

kujua kupanda kwa chadema in percentage = iv - iii*100/ i

ukimaliza uje na jibu nikupe method ya linear regression
 
Kuna hoja nyingi angeshindwa kuzitolea majibu. Na yaye kama 'rais' ingekuwa aibu kubwa sana. Si unajua yule ni mtu wa matukio mepesi!
Mtachonga sana safari hii lakini kipigo cha kiutu uzima mmekipata, itachukua muda mpaka majeraha yapone.
 
yaani huwa nikisoma post zako huwa ninajiuliza uwezo wa masaburi yako kwani una iq ya chini sana......

una uwerzo mdogo sana wa analysis yaasni haionyeshi kama ulibahatika kuingia sekondari japo ya kata.....

haya take home assignment:

1. calculate by percentage ushindi wa CCM igunga 2010...................................1

2. calculate by percentage ushindi wenye mashaka wa CCM + serekali igunga 2011...................11

2. calculate by percentage kura za chadema igunga 2010...............................111

3. calculate by percentage kura za chadema igunga 2011................................iv

kujua anguko la CCM in percentage = 1 - 11*100/11

kujua kupanda kwa chadema in percentage = iv - iii*100/ i

ukimaliza uje na jibu nikupe method ya linear regression
Kama hii ndio njia yenu ya kujiliwaza basi ni poa tu. Ukweli uko pale pale. Kushindwa ni kushindwa, kwa kura moja au elfu.
 
Ndugu zangu, kulikoni mzee wa kasi mpya hakuonekana Igunga, ama hajapona madonda ya swaiba wake RA? Au aliambiwa akienda atakukumbushia siasa uchwara tafadhali mwenye kujua lolote kuhusu hili tuwaanikie watz waweze kujua huyu jamaa alivyo maana yake usanii tu. Nitashukuru kwa michango yenu.

Aliogopa aibu ya kusomewa na wananchi wa Igunga. Anajua kabisa kwa sasa hakubaliki mbele ya wananchi walio wengi. Huo ndio ukweli na hata mwenyewe ukimuuliza sasa hivi atakuambia hivyo.

Wanaosema kinyume na hapo wanaendekeza siasa za kishabiki zaidi bila kufanya uchambuzi yakinifu.

Kiukweli CCM imeshinda uchaguzi kwa kupata kura nyingi kuliko vyama vingine vilivyoshiriki uchaguzi. Lakini CCM imepoteza umaarufu wake Igunga kwa sasa. Hata viongozi wa CCM wanalijua hilo. Wameshinda uchaguzi lakini umaarufu wa CHAMA umepotea. Sasa inabidi wafikirie mara mbili nini cha kufanya kurudisha umaarufu wa chama kwenye jamii.
 
Labda Bakwata na lile baraza la mihadhara/mikutano ya kiislam lilimwakilisha. unaweza kuona matamko yao hadi miskitini na leo washakaa kimya kabisa. Pia kumbuka Mh Jk alikuwa na majukumu ya kitaifa ya kiuwakilishi USA.
 
Ndugu zangu, kulikoni mzee wa kasi mpya hakuonekana Igunga, ama hajapona madonda ya swaiba wake RA? Au aliambiwa akienda atakukumbushia siasa uchwara tafadhali mwenye kujua lolote kuhusu hili tuwaanikie watz waweze kujua huyu jamaa alivyo maana yake usanii tu. Nitashukuru kwa michango yenu.
Sheikh Yahya mpya! alimshauri kuwa akijaribu ataanguka tena jukwaani na kufia huko!!
 
Amini usiamini jk alikuja siku waliyotangaza matokeo, watumishi wa h/shauri tunalijua hilo, ingawa vyombo vya habari havikuripoti
 
Chama cha nkwere kilisimamisha mgombea?
Mi ninajua vyama vya cdm, cuf, bakwata, updp, sau ndio waliosimamisha wagombea Igunga.
CCM ina jeshi kubwa sana , na hakuna haja yakupeleka silaha nzito km hizi zinaitwa silaha za maangamizi. Wapeleka jeshi dogo tu lakina magufuli, wasirra, mwingulu, mkama nk umeona kilio cdm walicho kipata . Na hata soma maoni yao humu JF utaona ni watu waliokata tamaa,wenye hasira na wenye fadhaaaa
 
yaani huwa nikisoma post zako huwa ninajiuliza uwezo wa masaburi yako kwani una iq ya chini sana......

una uwerzo mdogo sana wa analysis yaasni haionyeshi kama ulibahatika kuingia sekondari japo ya kata.....

haya take home assignment:



1. calculate by percentage ushindi wa CCM igunga 2010...................................1

2. calculate by percentage ushindi wenye mashaka wa CCM + serekali igunga 2011...................11

2. calculate by percentage kura za chadema igunga 2010...............................111

3. calculate by percentage kura za chadema igunga 2011................................iv

kujua anguko la CCM in percentage = 1 - 11*100/11

kujua kupanda kwa chadema in percentage = iv - iii*100/ i

ukimaliza uje na jibu nikupe method ya linear regression

AU Differential Equation
Atumie La Placeee
 
Hivi wewe ulitaka CDM wasipate kura hata hizo walizopata? Big boss amewahurumia na ndio sababu ya kutuma watu wake. Au unafikiri CCM ni chama njaa kama CDM walio peleka Chama kizima huko Igunga. Na lazima ukumbuke huu ni uchaguzi mdogo sana kwa mtu wa muhimu kama Kikwete.
wewe unafikiri kwa kutumia masaburi. hivi haukuiona serikali ilipo hamia igunga?
 
Ndugu zangu, kulikoni mzee wa kasi mpya hakuonekana Igunga, ama hajapona madonda ya swaiba wake RA? Au aliambiwa akienda atakukumbushia siasa uchwara tafadhali mwenye kujua lolote kuhusu hili tuwaanikie watz waweze kujua huyu jamaa alivyo maana yake usanii tu. Nitashukuru kwa michango yenu.
ndiyo nani huyo kaka? mie mgeni mwenzio
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom