Recent content by SUPERUSER

  1. SUPERUSER

    Shareholder mkubwa wa NMB ameondoka – Rabobank Nederland

    Amezinunua Arise Foundation..ambao ni wa Dutch hao hao..Arise is comprised of Norfund(Norwegian Investment fund),FMO(a Dutch development bank) and Rabobank
  2. SUPERUSER

    UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

    Tatizo letu Wa bongo kila mtu anajifanya mjuaji/anapenda aonekane anajua kuliko wote..[emoji3][emoji3][emoji3]..instead of kubishana ilitakiwa forums zianzishwe watu wabadilishane experiences coz after all hela za forex haziishi leo wala kesho (over 5 trillion $ per day)..forex is a legitimate...
  3. SUPERUSER

    Tanga: Basi la Kilimanjaro lapata ajali Mkata

    My sister alikua kweny basi la nyuma yake wamepita Eneo la ajali muda si mref..taarifa za awali kuna majeruhi including dereva alilaliwa na basi wameshamtoa lakini..pia kuna mtoto mchanga kafariki
  4. SUPERUSER

    Mkurugenzi Mkuu Mpya Vodacom Tanzania afikishwa mahakamani kwa Uhujumu Uchumi

    Me nachojua the majority shareholder ambae ni MNC (parent company ) Incase of vodacom ndo ana sauti linapokuja suala la nani awe CEO au atoke wapi na sio serikali sio nani..angalia benki zote za nje including Nmb(anaekaimu baada ya yule mama nae sio mtanzania)CEOs wanatoka parent company...hata...
  5. SUPERUSER

    Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

    Ingekua hailipi watu wasingeendelea kufanya..try your chances..tena unganisha na taxify
  6. SUPERUSER

    Forex indicators

    Yes Kaka..kusoma muhim sana..all the secrets are in the books..ila kuna some good indicators zinakupa market sentiment na important alerts kama hidden divergence alerts or volatility bands squeeze..ukichanganya na price action knowledge unakua in a very good postion to enter a trade
  7. SUPERUSER

    Forex indicators

    Sio zote unapata kweny mt4 Bro...kuna zingine zinauzwa then u install in the indicators folder
  8. SUPERUSER

    Toyota IST na Toyota ALLEX ipi bora

    Ist ..iko juu haigusi chini .. ni ngumu..low fuel consumption.. enough space..ist ata ukisema unauza leo ni fasta ..tena angiza ya 2006 utainjoy zaidi
  9. SUPERUSER

    Siioni amshamsha ya Forex, vipi watu wameshapigwa?

    Today I sold AUDUSD...profit nje nje..
  10. SUPERUSER

    Dkt. Kimei(CRDB): Hali ya uchumi nchini ni tete

    Mbona NMB hawalalamiki tena wanazidi kupata faida
  11. SUPERUSER

    Ushauri: Nimechoka na hii hali ya kuachwa na wanaume

    Duh pole aise!..stay single for a while until u figure yourself out
  12. SUPERUSER

    Ajali ya kizembe Tabata

    Wewe ndo wale mnabania wenzio unakuta anawasha indiketa na honi anakupigia bado unakomaa tuu ..not fair
  13. SUPERUSER

    Safarini Dar: Msaada wa hoteli nzuri bei ya wastani

    Home ground..ipo Sinza mori...elf35
Back
Top Bottom