Zote nnazipenda mkuu ila ktk manunuzi inabidi kuchagua moja sasa kabla ya kununua nilitaka kujua kila moja uimara wake wa body, unywaji wa wese na upatikanaji wa vipuriKabla haujaja kwetu naamini kuna chaguo lako ambalo ulikua tayari kushajiwekea...haya nikuulize wewe unapenda ipi ndani ya moyo wako.
Kwa upande wa mafuta chukua ist.Vipi kuhusu unywaji wa wese.?
Hapana Ist zipo za 1200cc na 1490cc, alex zote ni 1490cc hakuna yenye 1800ccIst ni 1.4 ltrs while allex ni 1.8 ltrs kwahio ni wazi kuwa ist haitakula sana kiwese
Mkuu IST na Allex zote ni gari ndogo sana kiasi cha kuwaza juu ya consumption ya mafuta, yaaan ukiweka mafuta ya elfu hamsini utazunguka na gari mpaka utajisikia vibaya kwa nn mafuta hayaishi.Zote nnazipenda mkuu ila ktk manunuzi inabidi kuchagua moja sasa kabla ya kununua nilitaka kujua kila moja uimara wake wa body, unywaji wa wese na upatikanaji wa vipuri
umekosea, IST zipo za cc 1290, cc 1490 na cc 1790.Hapana Ist zipo za 1200cc na 1490cc, alex zote ni 1490cc hakuna yenye 1800cc
Carina Ti nayo ni 1.5ltrs....Kwa uzoefu gari nyingi zenye injini ya ujazo huo huwa hazili mafuta sanaVipi kuhusu Toyota carina Ti.?
Kwahivyo allex sio ngumuIst ..iko juu haigusi chini .. ni ngumu..low fuel consumption.. enough space..ist ata ukisema unauza leo ni fasta ..tena angiza ya 2006 utainjoy zaidi
Hizo gari mnazitengeneza chato??Toyota Yohana
Kwahivyo allex sio ngumu