Sasa mkuu hivi hao vijana ni wale walioaply directly kwenye vyuo na tcu in both hadi wakapelekea multiple selections au ni makosa ya tcu wenyewe wakawachagua vyuo zaidi ya kimoja? Ufafanuzi please
Sasa jamani hebu naomba tuwe fair, hivi kweli kuna kijana aliyetimamu ambaye yupo tayari kusoma vyuo mbuzi wakuu?
Dah eti mfano mi niende Mtwara university jamani si ntazimia jaman, E mola tusaidie kwakweli.
Fundisho wapi mbona wakina Riz1 na madawa ya kulevya lakini ndo mnawapa na ubunge kama reward kwanini nao wasifungwe ili iwe fundisho? Au watoto wa maskini ndio huwa sample.. Agrrrrh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.