habari zenu wanajf...
niko kwenye wakati mgumu sana sasa, najaribu kila hali niweze kumsahau mwanaume ninayempenda ambaye naweza kusema uwezo wa kuwa naye tena haupo kutokana na migogoro inayoendelea kwa mda mrefu sasa kati yetu tangu last year in July. wadada na wakaka hebu fungukeni huwa...
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, natafuta rafiki awe wa kike au wa kiume wa kubadilishana naye mawazo kuhusu mahusiano, Kifupi nimewahi kuwa na boyfriend mmoja tu lakini kwa sasa hatuelewani so i need company ya mtu yeyote aliye tayari kunifundisha mambo haya ya mahusiano hasa jinsi ya...
ama kweli inaonyesha kuwa wewe si mtu mzuri huwezi ukajisifu kwa kupitia jamii forum maana hayo ni makosa makubwa kwa kufanya uzinzi maana kuwa kama kweli ulikuwa na mapenzi ya dhati kwa mkeo usingeweza kufanya hivyo. Pia kama ulikuwa unamuogopa Mungu ungeshinda majaribu ila ulikuwa unabeep kwa...
Tunawapongeza viongozi wetu wote kuanzia Gorofani hadi sakafuni. Kwa kweli maisha ya watanzania yanazidi kushamili kila baada ya sekundeeeee!, tunampongeza mjomba wetu. wembe ni ule ule, kama mwaka jana. jamanitusipunguze spidi! maisha bora kwa kila man! imetekelezwa kwa kweli. tchaoooooooo!
Haihusiani na kwa mwezi ninakutana na mashine ngapi? hili ni tatizo na linahitaji ufumbuzi, ndio maana nimeuliza kwa wale wanaolifahamu wanijuze coz sidhani kama linasababishwa na hizo mashine
Uvimbe kwenye Cervix unasababishwa na nini? Na nini matibabu yake? Madhara yake ni nini? Nini kifanyike ili uvimbe utoke? Kwa aliyewahi kukutwa na ugonjwa huu au kusikia unasababishwa na nini na matibabu yake ni yapi naomaba anijuze. Asante, nawasilisha
Naona mnadhani mimi ni mtoto wa sekondari la mm ni graduant tena nina mwaka niko hom tangu nimalize degree yangu ya kwanza. tatizo nililonalo ni kuwa alwayz mama ni mkali anadhani sisi bado ni watoto wadogo, but mm ni mkubwa na huwa najifikiria hv huyo n mchumba atashuka tuu kutoka hewan bila...
Habari wanajf
Mimi niko na tatizo , mpenzi wangu tuliyeachana hivi karibuni ameenda kudai vitabu hom, sijui ana maana gani na malengo gani kwangu coz si heshima mtu kwenda kichwakichwa kwa wazazi wa x-gal wako kujieleza ili iweje? hapa nilipo nimechanganyikiwa coz mazingira ninayoishi it is not...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.