habari zenu wanajf...
niko kwenye wakati mgumu sana sasa, najaribu kila hali niweze kumsahau mwanaume ninayempenda ambaye naweza kusema uwezo wa kuwa naye tena haupo kutokana na migogoro inayoendelea kwa mda mrefu sasa kati yetu tangu last year in July. wadada na wakaka hebu fungukeni huwa...
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26, natafuta rafiki awe wa kike au wa kiume wa kubadilishana naye mawazo kuhusu mahusiano, Kifupi nimewahi kuwa na boyfriend mmoja tu lakini kwa sasa hatuelewani so i need company ya mtu yeyote aliye tayari kunifundisha mambo haya ya mahusiano hasa jinsi ya...
ama kweli inaonyesha kuwa wewe si mtu mzuri huwezi ukajisifu kwa kupitia jamii forum maana hayo ni makosa makubwa kwa kufanya uzinzi maana kuwa kama kweli ulikuwa na mapenzi ya dhati kwa mkeo usingeweza kufanya hivyo. Pia kama ulikuwa unamuogopa Mungu ungeshinda majaribu ila ulikuwa unabeep kwa...
Tunawapongeza viongozi wetu wote kuanzia Gorofani hadi sakafuni. Kwa kweli maisha ya watanzania yanazidi kushamili kila baada ya sekundeeeee!, tunampongeza mjomba wetu. wembe ni ule ule, kama mwaka jana. jamanitusipunguze spidi! maisha bora kwa kila man! imetekelezwa kwa kweli. tchaoooooooo!
Haihusiani na kwa mwezi ninakutana na mashine ngapi? hili ni tatizo na linahitaji ufumbuzi, ndio maana nimeuliza kwa wale wanaolifahamu wanijuze coz sidhani kama linasababishwa na hizo mashine
Uvimbe kwenye Cervix unasababishwa na nini? Na nini matibabu yake? Madhara yake ni nini? Nini kifanyike ili uvimbe utoke? Kwa aliyewahi kukutwa na ugonjwa huu au kusikia unasababishwa na nini na matibabu yake ni yapi naomaba anijuze. Asante, nawasilisha
Naona mnadhani mimi ni mtoto wa sekondari la mm ni graduant tena nina mwaka niko hom tangu nimalize degree yangu ya kwanza. tatizo nililonalo ni kuwa alwayz mama ni mkali anadhani sisi bado ni watoto wadogo, but mm ni mkubwa na huwa najifikiria hv huyo n mchumba atashuka tuu kutoka hewan bila...
Habari wanajf
Mimi niko na tatizo , mpenzi wangu tuliyeachana hivi karibuni ameenda kudai vitabu hom, sijui ana maana gani na malengo gani kwangu coz si heshima mtu kwenda kichwakichwa kwa wazazi wa x-gal wako kujieleza ili iweje? hapa nilipo nimechanganyikiwa coz mazingira ninayoishi it is not...
Habari wanaJF,
Nilishawahi kutuma post siku za nyuma nikeleza jinsi gani mpenzi wangu aliamua kuniacha baada ya kumtumia sms na kumuuliza maswali kadhaa ambayo ndiyo yaliyosababisha tugombane na kuvunja uhusiano wetu. Nashukuru kwa ushauri mlionipa umenisaidia sana naamini haukuwa Mpango wa...
alipaswa aseme nimpe muda wa kujibu hiyo sms, pia mm na yy tuko kyk mikoa tofauti na ndio maana nilimuuliza thru sms. mawazo ya kuwa labda nina mtu mwingine hapana, sina.
Habari wana jf,
Mimi nina umri wa miaka 25, tatizo langu ni kuwa nilikuwa na uhusiano na Kijana mmoja hivi na yeye ni member humu jf, tulikutana tukiwa chuo na tumedumu katika uhusiano huo kwa takribani mwaka mmoja na miezi kumi hivi, nakumbuka alianza kunifuatilia tangu nikiwa first year na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.