Habari,
Naomba kujua aliyewahi kutumia mabati ya kampuni hizo ubora wake ukoje, kwa eneo nililopo ndio bati zinazopatikana madukani sasa sijajua naenda wapi, ALAF najua wako bora ila bei yaoo inaniogopesha.
Nakaribia hatua ya uezekaji, ila uwezo wa kununua ALAF naona sina, kuna mabat mengi yanatangazwa kama Dragon, Taishan, sunbank, Kinglion, Mabati Bomba, Kiboko etc..ni Kampuni gani angalau ina bati angalau bora..Naogopa yasinikute kama hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.