nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,004
- 833
Katika hotuba aliyoitoa kwenye maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, alisema Serikali itaipandisha hadhi OSHA.
Swali langu ni Je kwasasa OSHA ipo kwenye daraja lipi Idara, Wakala au Mamlaka?
Swali langu ni Je kwasasa OSHA ipo kwenye daraja lipi Idara, Wakala au Mamlaka?