We ngwasi kaman,nimegundua Kwa nn ukiwa central buhongwa ss buhongwa mkolani Mwanza, form 3, ulgombana na kaka ako damas kaman sababu alikula wali wako na maharage.
Nafkri ni namna Vyombo vya Dola vinavoshughulika na maswala kama haya,ndo mana unaona watu wanapoteza Iman na hivi Vyombo badala yake wanashtaki Kwa wanasiasa na Cha kushangaza ndo utaskia na mabosi wanapiga simu
Duuh,ila Mwigulu basi tu.Hii siasa inaua sana makampunibna kufumuza uchumi,wakandarasi wanadai sana,ila siasa inapigwa tu,waliopo ktk hyo sekta wanajua Kila vikao wanalalamika sana lkn Kwa vile ni biashara na serikali ndo imeshika mpini hakuna mkandarasi atajitia kupaza Sauti sana,Inabidi wawe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.