CHADEMA na familia ya Ben Saanane nendeni kwa Makonda awasaidie kumtafuta

Ukiwa mvuvi cku ukipotea watu wengi wasiopenda kufikiria sana wataamini inawezekana ulifia majini huko, vivo hvyo ukiwa mchimba madini watu wa jinsi hyo wataamini umefukiwa na kifusi same ukiwa mwanajeshi ukipotea wataamini umefia vitani.Same ukiwa mkosoa serikali cku ukipotea watu wa jinsi hyo pia wataamini serikali imekuua.Sijawahi kuckia hata ushahidi wa kimazingira unaohusisha serikali na kifo cha Ben zaidi ya watu kuburuzwa na hisia (ingawa kila kitu kinawezekana).Mi nadhani wana CHADEMA kama hamna ushahidi hata wa kimazingira tu,mtupumzishe na kelele za Ben kauwawa na serikali.
Ben Rabiu Saanane alimkosoa magu na phd yake fake kuna mtu akamuonya na ben akatoa taarifa na akaileta hapa pia kwamba anatishiwa uhai. Tundu lissu kushambuliwa kwa risasi magu alisema wazi wakati wa ripoti ya makinikia muda mfupi baadae lissu akashambuliwa . Jiongeze utamjua mtekaji na muuwaji ninani.
 
Wote tumeshuhudia namna Paul Makonda amekuwa jasiri na Hodari kuhakikisha haki za wanyonge zinapatikana lakini kusimamia uwajibikaji kwa Viongozi na watumishi wa Umma kote anakopita. Kwa sasa Makonda ni tumaini linalochomoza la wanyonge kuwapatia haki.

Ni wakati muafaka sasa Familia ya Ben saa nane na CHADEMA kwenda kumuomba Makonda kusaidia upatikanaji wa huyu kijana.

Ben saa nane alikuwa msaidizi wa karibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA, akimsaidia kufanya tafiti na uchambuzi katika masuala ya siasa na Uchumi. Siku aliyotoweka ni siku taifa lilipotangaziwa kifo cha aliyekuwa Spika wa Bunge, Samweli Sita, vikao vya bunge vilikuwa vinaendelea Dodoma.

Taarfa iliyotolewa na John Mrema ilisema siku hyo jion alpotoweka, simu yake ilitumika kutoa pesa kwa wakala M-Pesa eneo la Mburahati, tangu hapo utambuzi wa simu yake ulipotea na inaonekana simu yake ya mkononi walii-block. Tangu wakati huo mpaka leo Ben hajawahi kupatikana na haijulkani kama yuko hai au amekufa.

Makonda akiwa shinyanga amekutana na kesi zaid ya mbili za watu kutekwa na kupotezwa,na kwa dhati ameagiza ufatiliaji wa haraka na haki kupatikana kwa hao watu,Chadema na familiya ya ben saa nane enendeni katika mikutano ya makonda, mkaongee kwa unyenyekevu haki ya ben saa nane itapatikana.

Haki htafutwa popote, najua mtasema mshareport katika mamlka husika lakini msichoke kutafta haki ya Ben Saanane. Linapokuja suala la haki ni vema tofauti za kisiasa zikawekwa kando. Kama polisi na taasisi nyingne zimeshindwa kushughulkia madai yenu, nendeni kwa Makonda.

Ingawa nimetoa angalizo kuhusu makonda. Ipo siku yaja kwa huyu mwenezi msipomfunda CCM na Rais Samia mtavuna mabua lkn huyu jamaa anaonesha ujasiri mkubwa na anastahili maua yake,na kwa harakati anazofanya he deserve more than this na ninataman agombee uraisi wa nchi hii.

Niseme tu hizi harakati zilitakiwa zifanywe na upinzani na mm kwa dhati nilitoa ushauri huu. USHAURI: Kwako Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu Makonda ameunyaka ushauri na huu mfupa anaugegeda ipasavyo.

Tazama hapa namna makonda anavosaidia wanyonge,hata kama anaigiza but this man is trying,anakitu na anaweza kuibadili nchi,watanzania wanahtaj mtu jasiri na mwenye kuonesha kuleta Mabadiliko na hii ndiyo support waliyoitumia Chadema kujizolea umaarufu.

View attachment 2888351
Mbowe anajua alipo!!
 
Wote tumeshuhudia namna Paul Makonda amekuwa jasiri na Hodari kuhakikisha haki za wanyonge zinapatikana lakini kusimamia uwajibikaji kwa Viongozi na watumishi wa Umma kote anakopita. Kwa sasa Makonda ni tumaini linalochomoza la wanyonge kuwapatia haki.

Ni wakati muafaka sasa Familia ya Ben saa nane na CHADEMA kwenda kumuomba Makonda kusaidia upatikanaji wa huyu kijana.

Ben saa nane alikuwa msaidizi wa karibu wa Mwenyekiti wa CHADEMA, akimsaidia kufanya tafiti na uchambuzi katika masuala ya siasa na Uchumi. Siku aliyotoweka ni siku taifa lilipotangaziwa kifo cha aliyekuwa Spika wa Bunge, Samweli Sita, vikao vya bunge vilikuwa vinaendelea Dodoma.

Taarfa iliyotolewa na John Mrema ilisema siku hyo jion alpotoweka, simu yake ilitumika kutoa pesa kwa wakala M-Pesa eneo la Mburahati, tangu hapo utambuzi wa simu yake ulipotea na inaonekana simu yake ya mkononi walii-block. Tangu wakati huo mpaka leo Ben hajawahi kupatikana na haijulkani kama yuko hai au amekufa.

Makonda akiwa shinyanga amekutana na kesi zaid ya mbili za watu kutekwa na kupotezwa,na kwa dhati ameagiza ufatiliaji wa haraka na haki kupatikana kwa hao watu,Chadema na familiya ya ben saa nane enendeni katika mikutano ya makonda, mkaongee kwa unyenyekevu haki ya ben saa nane itapatikana.

Haki htafutwa popote, najua mtasema mshareport katika mamlka husika lakini msichoke kutafta haki ya Ben Saanane. Linapokuja suala la haki ni vema tofauti za kisiasa zikawekwa kando. Kama polisi na taasisi nyingne zimeshindwa kushughulkia madai yenu, nendeni kwa Makonda.

Ingawa nimetoa angalizo kuhusu makonda. Ipo siku yaja kwa huyu mwenezi msipomfunda CCM na Rais Samia mtavuna mabua lkn huyu jamaa anaonesha ujasiri mkubwa na anastahili maua yake,na kwa harakati anazofanya he deserve more than this na ninataman agombee uraisi wa nchi hii.

Niseme tu hizi harakati zilitakiwa zifanywe na upinzani na mm kwa dhati nilitoa ushauri huu. USHAURI: Kwako Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu Makonda ameunyaka ushauri na huu mfupa anaugegeda ipasavyo.

Tazama hapa namna makonda anavosaidia wanyonge,hata kama anaigiza but this man is trying,anakitu na anaweza kuibadili nchi,watanzania wanahtaj mtu jasiri na mwenye kuonesha kuleta Mabadiliko na hii ndiyo support waliyoitumia Chadema kujizolea umaarufu.

View attachment 2888351
Haaaa nani ? Mbowe awezi kuruhusu hilo jambo hata siku moja pia kina Rostam azizi awawezi kukubali kitu hicho kufanyika.kama kuna kitu kinamchukiza mbowe kwa sasa ni jina la Ben saa 8...ukitaja ilo jina mbele ya mbowe basi anaweza kukuzaba makofi hadharani
 
Haaaa nani ? Mbowe awezi kuruhusu hilo jambo hata siku moja pia kina Rostam azizi awawezi kukubali kitu hicho kufanyika.kama kuna kitu kinamchukiza mbowe kwa sasa ni jina la Ben saa 8...ukitaja ilo jina mbele ya mbowe basi anaweza kukuzaba makofi hadharani
Tupe sababu mkuu,Kwa nn hapend hlo jina,wakati alkuwa msaidizi wake na amepambana kumtafta?
 
Tupe sababu mkuu,Kwa nn hapend hlo jina,wakati alkuwa msaidizi wake na amepambana kumtafta?
Wewe kama unatumia akili umewahi kuona mbowe akiongelea ben saa 8 baada ya kifo cha jpm popote ...liletukio la ben ni mipango ya kumchafua jpm ila wahusika ni wale wale waliokuwa wanamsingizia jpm
 
Wewe kama unatumia akili umewahi kuona mbowe akiongelea ben saa 8 baada ya kifo cha jpm popote ...liletukio la ben ni mipango ya kumchafua jpm ila wahusika ni wale wale waliokuwa wanamsingizia jpm
Kama ni kweli Kwa nn uchunguzi wa polisi na Vyombo vya Dola visije na taarfa kamili,na Kwa nn chadema ndo wanashinikiza uchunguzi ufanyike?
 
Kama ni kweli Kwa nn uchunguzi wa polisi na Vyombo vya Dola visije na taarfa kamili,na Kwa nn chadema ndo wanashinikiza uchunguzi ufanyike?
Chadema kuna siri ...hao chadema unao wasema wewe awajui chochote ila chadema na ccm walio panga huo mpango wa kumchafua jpm kwa kutengeneza tukio la ben wao kamwe awasemi kuhusu uchunguzi ndiyo maana nikakuambia mbowe hataki hata kusikia jina ben ....na kwa sasa kikundi cha ccm kilichokuwa kinamchukia jpm na kushirikiana na chadema kwenye tukio la ben ndiyo kimeshika hatamu ikulu ipo mikononi mwao .... weweunadhani ccm walio mchukia jpm wasingetumia ilo tukio kwa sasa kuthibitisha uovu wa jpm kama ni kweli jpm aliusika nani asiye jua kuwa samia ana mchukia jpm kwanini asinge tumia huo mwanya kudhihilisha uovu wa jpm .
 
Chadema kuna siri ...hao chadema unao wasema wewe awajui chochote ila chadema na ccm walio panga huo mpango wa kumchafua jpm kwa kutengeneza tukio la ben wao kamwe awasemi kuhusu uchunguzi ndiyo maana nikakuambia mbowe hataki hata kusikia jina ben ....na kwa sasa kikundi cha ccm kilichokuwa kinamchukia jpm na kushirikiana na chadema kwenye tukio la ben ndiyo kimeshika hatamu ikulu ipo mikononi mwao .... weweunadhani ccm walio mchukia jpm wasingetumia ilo tukio kwa sasa kuthibitisha uovu wa jpm kama ni kweli jpm aliusika nani asiye jua kuwa samia ana mchukia jpm kwanini asinge tumia huo mwanya kudhihilisha uovu wa jpm .
Aisee
 
Back
Top Bottom