Mbuzingombe
Senior Member
- Apr 14, 2024
- 115
- 301
Hivi mtu asiyeamini ktk Uislamu, unapomuombea kupitia dini asiyeamini inakuwaje?NJAA MBAYA SANA,MUISLAM UNAHIMIMIZWA ILI UFANYE IBADA ZAKO KWA UHAKIKA YAPASWA KUUKIMBIA UMASKINI,AMA SIVYO UTAANGUKIA KWENYE UDHALILI NA UNYONGE.
Hii pia kwa waislamu wanaoombewa na wakisto ambao waislam pia hawamini ktk dini hiyo inakuwaje?